jailos mrisho
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 647
- 1,360
Tulia ww..hujui machungu ya kunyimwa hela ambayo utailipa badae tena kwa penalty na nyongeza ya 6% yearlyUfaulu wa darasani na u-Vice Chancellor kwa takriban miaka 18, bado unatilia shaka uelevu na uweledi katika maisha?
Hakika watu weusi hatuthamini vya kwetu.
Sikutaka kuzungumzia uelevu na uweledi wa huyo unayemwombea msamaha, ambaye anamtuhumu Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Mzumbe, Chairman of the University Council, kwa kumkata 'boom' lake.
Anazifahamu kazi za Baraza la Chuo Kikuu?
Baraza ambalo lina uwakilishi mzito wa Serikali za Wanachuo?
Lakini nakushukuru kwa kuonyesha ustaarabu.