Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 9,824
- 19,695
Ndiyo maana mimi ni mmojawapo wa wazalendo wengi katika nchi hii wanaopenda Dkt. Magufuli asiondoke kabisa madarakani ili nisije kushangaa hata kidogo. Tulimhitaji kiongozi mchapakazi, makini mzalendo na thabiti kama JPM. Kwa hali ambayo nchi yetu ilikuwa imefikia, tunamhitaji kiongozi madhubuti ili kutuletea mapinduzi na utandulivu (reformation) chanya na halisi wa kimaendeleo.Ok japo hizo hoja zako mbili napata shida kizihusanisha, hata mimi pia ni mtanzania japo kwa sasa siko huko lakini najua kila kinachoendelea, unajua hizo ndege alizinunua kiasi gani na kwa budget ip? Tuje kwenye madini, unajua mikataba yake au nani mwenye taarifa zake, bunge? Mamb ni mengi sana, huyo jamaa akitoka madarakani utashangaa sana.