UTEUZI: Rais Magufuli amteua Prof. Rutasitara kuwa M/kiti wa Bodi ya TIC

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,358
UTEUZI: Rais Magufuli amteua Prof. Rutasitara kuwa m/kiti wa TIC
index.jpeg
 
Lakini mbona tarehe ni yazamani? mbona taarifa imechelewa kutolewa wenye uelewa na jambo hili naomba msaada jamani.
maana taarifa imetaja mei 31 lakini barua imeandikwa june 14 na ndani ya barua inasema uteuzi huu unaanza mara moja.
 
Hii ni June, 2017, amebakiza takribani miaka miwili tu kabla ya kuanza kampeni endapo chama chake kitaridhia apeperushe tena bendera.

TATHMINI: kwa wanaojitambua na kuona hali halisi ya uchumi na maendeleo ya nchi na mwananchi mmoja mmoja...hadi sasa JAMAA AMETUANGUSHA SANA...ame-perform chini ya kiwango, na ni kinyume cha matarajio ya watu wengi.

NB: Kumbe ukiwa kiongozi wa darasa (class monitor) haimaanishi kuwa unaweza ukafaa kuwa kiranja wa afya, au kuwa kaka mkuu.

Shame on YOU dude and ALL your supporters from your locality zone!
 
Lake Zone Kama kawa
Acheni ujinga,Mwl Nyerere aliteua mawaziri karibu miaka 20 bila waziri wa kabila ya Kihaya au kutoka mkoa wa ziwa magharibi uliobadilishwa na kuitwa mkoa wa Kagera wala wahaya hawakulalamika.
Ipo mikoa ilipewa upendeleo toka elimu ya sekondari hadi barabara za lami,mikoa ya kanda ya ziwa tena alikotoka Mwl hawakulalamika.
Ikaja vita ya Kagera ambayo haikuanzishwa na Kagera bali mahusiano mabovu kati ya Nyerere na Idi Amini na kuitumbukiza Mkoa huo kwenye majanga bila fidia au kuwapiga jack wala hawakulalamika.
Mbona kuna mikoa ilipewa mawaziri,na viongozi wenye upendeleo miaka takiribani 50 na wenzenu wako kimiya au tugawane fito tuone nani mbabe?
 
Acheni ujinga,Mwl Nyerere aliteua mawaziri karibu miaka 20 bila waziri wa kabila ya Kihaya au kutoka mkoa wa ziwa magharibi uliobadilishwa na kuitwa mkoa wa Kagera wala wahaya hawakulalamika.
Ipo mikoa ilipewa upendeleo toka elimu ya sekondari hadi barabara za lami,mikoa ya kanda ya ziwa tena alikotoka Mwl hawakulalamika.
Ikaja vita ya Kagera ambayo haikuanzishwa na Kagera bali mahusiano mabovu kati ya Nyerere na Idi Amini na kuitumbukiza Mkoa huo kwenye majanga bila fidia au kuwapiga jack wala hawakulalamika.
Mbona kuna mikoa ilipewa mawaziri,na viongozi wenye upendeleo miaka takiribani 50 na wenzenu wako kimiya au tugawane fito tuone nani mbabe?
Vipi kuhusu Sir george kahama (rip) hakuwa wa kwenu huyo ? Acha uongo
 
Back
Top Bottom