emmanuel mruma
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 1,778
- 1,718
Hajamaliza tu kuteua huu mwak wa pili unaenda wa tatu
kwa hasara Tanzania iliyopata kwenye vile vita ni kubwa sana, yale madeni mpaka leo hayajaisha. wakati mwingine unaweza kuwaza ni kwa nini Nyerere hakuacha tu huo mkoa uchukuliwe.Acheni ujinga,Mwl Nyerere aliteua mawaziri karibu miaka 20 bila waziri wa kabila ya Kihaya au kutoka mkoa wa ziwa magharibi uliobadilishwa na kuitwa mkoa wa Kagera wala wahaya hawakulalamika.
Ipo mikoa ilipewa upendeleo toka elimu ya sekondari hadi barabara za lami,mikoa ya kanda ya ziwa tena alikotoka Mwl hawakulalamika.
Ikaja vita ya Kagera ambayo haikuanzishwa na Kagera bali mahusiano mabovu kati ya Nyerere na Idi Amini na kuitumbukiza Mkoa huo kwenye majanga bila fidia au kuwapiga jack wala hawakulalamika.
Mbona kuna mikoa ilipewa mawaziri,na viongozi wenye upendeleo miaka takiribani 50 na wenzenu wako kimiya au tugawane fito tuone nani mbabe?
Duh kumbe bado teuzi hazijaisha tu. C mchezo.
Aliyanzisha nani vita?kwa hasara Tanzania iliyopata kwenye vile vita ni kubwa sana, yale madeni mpaka leo hayajaisha. wakati mwingine unaweza kuwaza ni kwa nini Nyerere hakuacha tu huo mkoa uchukuliwe.
Wengine wanapeana mapande. Huyu Mteuliwa alifanya kazi na Katibu wa Wizara hii (aliyesaini tangazo). Idara ya uchumi UDSM. Hapa unategemea NINI?Jamaa anapenda sana hao maprofesa na madokta aisee.
Ilipita takiribani 20 years kama una kumbukumbu,au uwaziri ni kujua kusoma na kuandika tu.Vipi kuhusu Sir george kahama (rip) hakuwa wa kwenu huyo ? Acha uongo
Da ngoja niongeze nguvu kwenye hii shule ya PhD.[/QUOTE
mpaka umalize itakuwa uongozi umebadilika, baada ya miaka mitatu ijayo tutakuwa na rais mpya
Haya mavyeo yako mengi tu!Duh kumbe bado teuzi hazijaisha tu. C mchezo.
I wish could be a PhD holderDuuu sisi wenye kadigrii kamoja awamu hii tumenasa!
I wish I culd be PhD holder
Huyu ni mshauri mkuu wa uchumi wa raisi.Wengine wanapeana mapande. Huyu Mteuliwa alifanya kazi na Katibu wa Wizara hii (aliyesaini tangazo). Idara ya uchumi UDSM. Hapa unategemea NINI?
hivi asilimia 75 ya maprofesa wa nchi hii ni wahaya? mbona kila kona wapo?!UTEUZI: Rais Magufuli amteua Prof. Rutasitara kuwa m/kiti wa TIC
Hapo hata sijaelewa kabisa. Hii kali mkuu!Lakini mbona tarehe ni yazamani? mbona taarifa imechelewa kutolewa wenye uelewa na jambo hili naomba msaada jamani.
maana taarifa imetaja mei 31 lakini barua imeandikwa june 14 na ndani ya barua inasema uteuzi huu unaanza mara moja.
Amechunguza vizuri eeehHuyu alikua katika kamati ya Kuchunguza Mchanga! Well deserved it.
kwani dunia imeisha?Duh kumbe bado teuzi hazijaisha tu. C mchezo.