mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
zinawachosha wewe na nani!?hizi teuzi nafikiri kwenye awamu zilizotangulia zilikuwa hata hazitangazwi...!! zinatuchosha.
hizi teuzi nafikiri kwenye awamu zilizotangulia zilikuwa hata hazitangazwi...!! zinatuchosha.
Unasema hivyo sababu hujapata..ngoja upate kama tutakusikia unabwabwaja tena....binadam mna matatizo sana...!!Teua tengua,vuruga,umiza ndo kazi pekee ya walioshindwa