Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akipewa kijana ile nafasi atatfuna sana watoto wetu, wacha wazee wapewe tu maana "nanii zao zishalala kama za bata"Huyu mzee si amezeeka sana? Aisee....hivi tuna nini?
Na akapata likes za kutosha toka kwa vikaragosi vyake.Huu uteuzi ulifanyika siku nyingi ila umetangazwa leo ili kuzuga..
Alisika Pumbavu mmoja aitwae kigogo toka Twitter
Mara ya kwanza unapingana na Boss wakoCleopa Msuya? Duh!!
Kulikuwa na ulazima kweli wa kumteua huyo mstaafu?
Nikuteue sasa hivi hapa hapa live?Bado mimi,nasubiri uteuzi patiently
Nikuteue sasa hivi hapa hapa live?
Sasa vijana wenyewe mkipewa mnashindana kupiga mi selfie na kurusha ista bora wapewage tu hao wazee wenye hekima na busara zaoMsuya mwenyewe kachoka anaumwa.Hivi ccm hakuna kustaafu?
Ulitaka ateuliwe mzee kafiti?Cleopa Msuya? Duh!!
Kulikuwa na ulazima kweli wa kumteua huyo mstaafu?
Done, subiri wasaidizi wangu waandae tamko na maandalizi ya tafrija ya maandaziNitafurahi..LOL
Mara ya kwanza unapingana na Boss wako
Huyu mzee anakula pensheni ya Uwaziri mkuu haitoshi? Kweli hela ni balaaRais kateuaView attachment 1241877