UTEUZI: Rais Magufuli amteua Meja Jenerali Yakubu Mohamed kuwa Mnadhimu Mkuu JWTZ. Awapandisha cheo Brigedia Jenerali 10

Kunguru Mjanja

JF-Expert Member
Aug 22, 2012
2,036
3,929
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt Magufuli ameteua Meja Jenerali Yakubu Hassan Mohamed kuwa Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania(JWTZ)

utezi.jpg
 
Wachaga na Jeshi ni kama kumfananisha Bata na Mbwa, Makabila mengine there are very weak hawana nguvu za asili, Ukiangalia historia kuna makabila ya kimapambano angalia vizuri utaona watu wa Iringa au Songea, Hivi Wale wanaokula urojo na mambo ya Jeshi wapi na wapi
 
Wishing all long and successful life on their new responsibilities. Hope God will show them the right path.
 
Back
Top Bottom