Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,237
- 34,183
Mchaga ana nguvu ya biashara na elimu!! Nyie wenye nguvu za kupiga mawe vichwa nenden jeshini!!Wachaga na Jeshi ni kama kumfananisha Bata na Mbwa, Makabila mengine there are very weak hawana nguvu za asili, Ukiangalia historia kuna makabila ya kimapambano angalia vizuri utaona watu wa Iringa au Songea, Hivi Wale wanaokula urojo na mambo ya Jeshi wapi na wapi