mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Balozi(Kanali) Wilbert Augustine Ibuge kuwa katibu mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Kabla ya wadhifa huo, Kanali Balozi Wilbert Augustine Ibuge alikuwa Mkuu wa Itifaki (Chief of Protocal) wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Amechukuwa nafasi ya Dkt. Faraji Mnyepe ambaye aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jshi la Kujenga Taifa.
Uteuzi wa kujaza nafasi aliyoacha Kanali Ibuge itatangazwa baadaye.
Kabla ya wadhifa huo, Kanali Balozi Wilbert Augustine Ibuge alikuwa Mkuu wa Itifaki (Chief of Protocal) wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.
Amechukuwa nafasi ya Dkt. Faraji Mnyepe ambaye aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jshi la Kujenga Taifa.
Uteuzi wa kujaza nafasi aliyoacha Kanali Ibuge itatangazwa baadaye.