Mkuu tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini.huu si wakati wetuduuh hii ratio hii...Magu kanyaga twendeee
Hapana mkuu nadhani tuendelee kunywa ghahawa na kucheza baoMkuu tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini.huu si wakati wetu
KANALI MSTAAFU WA JESHI !INAWEZEKANA NDIYE ALIYEKUWA ANAMSHAURI KUTUPIGIA PUSHUP WAKATI WA KAMPENI USISHANGAE MAPOSTA MASTA WAKAANZA KULETA BARUA MPAKA NYUMBANI KWAKO YA MGUU NA KUKUAMBIA POKEA BARUA HII ILI KUONYESHA WAKO BUSY NA KUPAMBANA NA TEHAMA
Uenyekiti wa Bodi sio mkurugenzi mtendajiHuwa nawaza, hivi kumpa kazi mtu aliyeajiliwa zaidi ya miaka 30 na akastaafu kuna logic wakati kuna graduates wazuri, wenye mawazo mapya na ubunifu na hawana ajira ina maana gani? Hii ni siasa na kulindana hii, haipo haki hapa.
Ratio?duuh hii ratio hii...Magu kanyaga twendeee
NINGEMSIFIA KAMA ANGEMTEUA MZEEMWANAKIJIJI KWENYE NAFASI HIYO YA MWENYEKITI BODI YA POSTA HALAFU KABLA HAJAAPISHWA AAMBIWE ASALIMISHE IKULU VIFAA VYOTE ANAVYOTUMIA KUANDIKA MAKALA ZAKE ILI APEWE POBOX NAMBA MOJA NA AWE WAKWANZA KUANZA KUANDIKA MAKALA NA KUZITUMA KWA SLP AKIKUBALI ANAAPISHWA HAPOHAPO ILA KUMPA KANALI MSTAAFU APAMBANE NA TEHAMA LABDA AWAAMBIE POSTA WAJE NA BARUA TOKA POSTA MPAKA MAJUMBANI YA MGUU TUNAWEZA WAONEA HURUMA TUKALIPIA STEMPU NA TUKAWAPA UJI WAPATE NGUVU YA KUZUNGUKA MJINILini Ataniteua Kama Mwenyekiti wa Bodi ya Nyuki!?
NINGEMSIFIA KAMA ANGEMTEUA MZEEMWANAKIJIJI KWENYE NAFASI HIYO YA MWENYEKITI BODI YA POSTA HALAFU KABLA HAJAAPISHWA AAMBIWE ASALIMISHE IKULU VIFAA VYOTE ANAVYOTUMIA KUANDIKA MAKALA ZAKE ILI APEWE POBOX NAMBA MOJA NA AWE WAKWANZA KUANZA KUANDIKA MAKALA NA KUZITUMA KWA SLP AKIKUBALI ANAAPISHWA HAPOHAPO ILA KUMPA KANALI MSTAAFU APAMBANE NA TEHAMA LABDA AWAAMBIE POSTA WAJE NA BARUA TOKA POSTA MPAKA MAJUMBANI YA MGUU TUNAWEZA WAONEA HURUMA TUKALIPIA STEMPU NA TUKAWAPA UJI WAPATE NGUVU YA KUZUNGUKA MJINILini Ataniteua Kama Mwenyekiti wa Bodi ya Nyuki!?