mtotowamamanjungu
JF-Expert Member
- Oct 13, 2016
- 351
- 273
Hiyo unayoita style mpya iko kwa mujibu wa sheria au mihemko?style ya magufuri watu hawaielewi ndo maana kila siku wanatukana.Sasahivi mh Magu hakupikazi moja kwa moja.Anaanza kwa kukukaimisha na ukichemaka anateua mwingine au ukifanya vizuri anakuteua rasmi.Kwa wasioelewa kama Tundulisu,,, wanabaki kulazimisha Magu amuendose Jaji mkuu wakati style ya sasa unapewa probation kwa mfumo wa kukaimu
Kuteua si moja ya kazi zake !? Bavicha hamko mbali na uchawi !Kutwa kuteua, hakuna kazi nyingine jamani?
Ila jamaa yuko vizuri namkubali. Hongera zako Mr. Konga. Ameanza kupata vyeo tokea akiwa Mdogo sana
Sio mkinga ni muwanji jamii ya wabena kuanzia Ilembula kwenda milimani huko. Bi Makinda wana ujamaa kwa mbaliiiiiii.Wewe acha kukariri huyo Mkuu ni Mkinga original jirani yetu ungejua maana ya neno konga ungefurahi sana masebele yu ve
Sio mkinga ni muwanji jamii ya wabena kuanzia Ilembula kwenda milimani huko. Bi Makinda wana ujamaa kwa mbaliiiiiii.
Sio mkinga ni muwanji jamii ya wabena kuanzia Ilembula kwenda milimani huko. Bi Makinda wana ujamaa kwa mbaliiiiiii.
Sio mkinga ni muwanji jamii ya wabena kuanzia Ilembula kwenda milimani huko. Bi Makinda wana ujamaa kwa mbaliiiiiii.
Jamaaa anameenda ikulu kwa ajiili yakuajiri viongozi, dah uku mtaaan akuna kazi ila zipo kwa wakubwaUTEUZI: Rais Magufuli amemteua Bw. Bernard Hezron Konga kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya(NHIF).
Kabla ya uteuzi huu Bwana Benard Konga alikuwa akikaimu nafasi hiyo
Swali kwako Mkuu. Nawe unazungumza kikinga?Ilembula mission kuna ukoo wao na anazungumza kikinga mkuu
Wawanji lugha yao inachanganyika kikinga kibena kinyakyusa kidogoIlembula mission kuna ukoo wao na anazungumza kikinga mkuu
Naona tunakoelekea tanzania ya sasastyle ya magufuri watu hawaielewi ndo maana kila siku wanatukana.Sasahivi mh Magu hakupikazi moja kwa moja.Anaanza kwa kukukaimisha na ukichemaka anateua mwingine au ukifanya vizuri anakuteua rasmi.Kwa wasioelewa kama Tundulisu,,, wanabaki kulazimisha Magu amuendose Jaji mkuu wakati style ya sasa unapewa probation kwa mfumo wa kukaimu
Si kuna watu walichukua viwanda na mashamba kwa bei ya kutupa oli watengeze ajira lakini hawakufanya hivyo? Au wewe hujui hilo? Walisema serekali sio vizuri kufanya biashara lakini kusimamia sera na kukusanya kodi.Jamaaa anameenda ikulu kwa ajiili yakuajiri viongozi, dah uku mtaaan akuna kazi ila zipo kwa wakubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutwa kuteua, hakuna kazi nyingine jamani?
Wawanji lugha yao inachanganyika kikinga kibena kinyakyusa kidogo
Kwa hiyo ukamsalimia kwa lugha gani?Sawa mkuu maana kuna siku nilimsalimia kiswahili alichukia sana sana akaniambaia UMEASI? ndio nikabadili frequency
Kwa hiyo ukamsalimia kwa lugha gani?