Wadau, dogo kaniuliza swali ambalo hata mimi limenigonga hivyo ningependa kupata ufafanuzi toka kwa wadau. Eti, pamoja na kwamba Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano ndie anateua majaji lakini hana uwezo wa kuwafukuza!!!!Sikutaka kumbishia dogo manake ningeweza kumbishia halafu akaniletea ushahidi mzee mzima nikaumbuka hasa ukizingatia ndo kwanza dogo mwenyewe ni Form III!!!! Je, jambo hili ni kweli au si kweli? Naomba ufafanuzi!!!