Kwa nini?Hiki kitendo cha wazanzibari kutawala Tanganyika kinaniudhi sana.
Watawale Zanzibar huko kwao.Kwa nini?
Ni makosa makubwa kuwa na fikra kama hizi kwenye jamhuri ya muungano.Watawale Zanzibar huko kwao.
Kama Zanzibar ilivyo ni ya wazanzibari, Tanganyika ni ya watanganika.
Ndoa ya ccm na Zanzibar inatuletea vitu vya ajabu sana.
Huu muungano ni muungano wa ajabu sana.
Wewe huu muundo wa muungano kama tulio nao uliwahi kuuona wapi?Ni makosa makubwa kuwa na fikra kama hizi kwenye jamhuri ya muungano.
Inaonekana wewe umezaliwa baada ya 1964. Pole bwa'mdogo.Wewe huu muundo wa muungano kama tulio nao uliwahi kuuona wapi?
Na siku ccm wakitoka tu madarakani na huo muungano unakua umefia hapo.
Mkuu, unanishambulia badala ya kujibu hoja zangu.Inaonekana wewe umezaliwa baada ya 1964. Pole bwa'mdogo.
KabisaBora waislamu wa Zenji kuliko Sukuma Gang.
Ni washamba sana.
Waache watawale tuliwakandamiza sana hii ni zamu yaoHiki kitendo cha wazanzibari kutawala Tanganyika kinaniudhi sana.
Muungano gan mbona watanganyika hawaendi kupewa nafasi zanzibarNi makosa makubwa kuwa na fikra kama hizi kwenye jamhuri ya muungano.
Muulize "shangazi" Fatma.Muungano gan mbona watanganyika hawaendi kupewa nafasi zanzibar
Hoja gani?Mkuu, unanishambulia badala ya kujibu hoja zangu.