Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,559
- 8,679
RAIS Jakaya Kikwete (Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama) amewapandisha cheo maafisa wanne wa cheo cha brigadier General kuwa Major General akiwemo mama Zawadi Madawili.
Zawadi anakuwa mwanamke wa kwanza kuwahi kupata cheo hicho Afrika Mashariki..pia yumo Brig Ndomba aliyekuwa Kanali na Mkuu wa Mkoa wa Arusha mwezi mmoja uliopita alipandishwa cheo kuwa bigadier na sasa ameongezewa tena..
Pia wamo maafisa wa cheo cha Kanali 15...wanaopandishwa kuwa BRIGADIER GENERAL wakiwemo wanamama wawili Grace Mwakipunda na Lilian Kingazi....
Kamati Kuu mnasemaje ..tunaomba tupate taarifa ya maafisa wote 19 jumla hawa...
Zawadi anakuwa mwanamke wa kwanza kuwahi kupata cheo hicho Afrika Mashariki..pia yumo Brig Ndomba aliyekuwa Kanali na Mkuu wa Mkoa wa Arusha mwezi mmoja uliopita alipandishwa cheo kuwa bigadier na sasa ameongezewa tena..
Pia wamo maafisa wa cheo cha Kanali 15...wanaopandishwa kuwa BRIGADIER GENERAL wakiwemo wanamama wawili Grace Mwakipunda na Lilian Kingazi....
Kamati Kuu mnasemaje ..tunaomba tupate taarifa ya maafisa wote 19 jumla hawa...