greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,318
- 3,926
Inasikitisha mno wezi kuchukua nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamba anafaa sana kuwa Waziri wa hiyo WizaraWanajuana!!!
Tumepigwa mchana kweupe
Sasa asipokua mbunge siku rais akimteua mjomba wake awe wa,iri si mtalalamikaKabisa mkuu!!!!
Kuna wakati Maisha hayaendi Kama unavyofikiri wewe.Huyo Ridhiwani unayemwita kichwa kibovu unajua ndiye aliyefanikisha kujengwa kwa kiwanda kikubwa kabisa cha tiles nchini cha Twayford ambacho kimeleta ahueni ya bei ya tiles.Tusiishi kwa kuchukua watu bila sababuKuwaacha Mwigulu Nchemba, Mzee George Mkuchika, Innocent Bashungwa na Paramagamba Kabudi ni dhambi isiyostahiki kusameheka. Kuwateua watu kama Makamba, Feleshi na Kijaji ni kujuana tu. Sitashangaa kusikia kichwa kibovu Ridhwan Kiwete akiteuliwa kuula ili kuendeleza ukoo tawala nyuma ya pazia.
Acha wengine nao wale mkate wao kikubwa resultsKunatatizo kubwa Sana Sana kwa taasis, ama madam hajaenea vzr au anaongozwa na watu ambao wanamwendesha kimawazo au anasukumwa na jenda issues...
Kwani jenereta hazikuwepo.Mbona umeme umekuwa ukikatika Sana kwa miaka mitano iliyopita na kubatizwa jina la Matengenezo,mara kunguru wamechezesha waya😀😀😀Tujiandae na kelele za majenereta. Mungu wa mbinguni asaidie taifa hili.
Hata huelewi kinachoendelea.Hiyo migodi iko chini ya Doto Biteko.Wamemuweka Makamba ili wauze migodi wajaze account zao.
Njoo kariakoo uyasalimie majeneratorMakampuni ya nje yalikuwa yakitaka "access" ya soko la ndani na nishati ni moja ya masoko wanayotaka.
JPM alikataa hiyo kwa kutaka nchi ijitegemee kiakili na kiuchumi...
msamee tu hyo ndug maisha ya memes anakariri kuambiwa mtu fulan mbayaKuna wakati Maisha hayaendi Kama unavyofikiri wewe.Huyo Ridhiwani unayemwita kichwa kibovu unajua ndiye aliyefanikisha kujengwa kwa kiwanda kikubwa kabisa cha tiles nchini cha Twayford ambacho kimeleta ahueni ya bei ya tiles.Tusiishi kwa kuchukua watu bila sababu
Yaa bado Nina faili la zamani la nishati na madini,kabla madini hayajawekwa kando.Hata huelewi kinachoendelea.Hiyo migodi iko chini ya Doto Biteko.
Muda ni mwalimu mzuri sana, ulichoongea kinatimiaWizara za upigaji ni nishati na wizara ya madini muda wa kina singa singa kurudi waanze kuchota mapesa ya watanganyika
Ni kweli yametimia, kuna mbunge nimemwona analia na serikali kisa kauliwa binamu yake kwenye vitalu vya madiniMuda ni mwalimu mzuri sana, ulichoongea kinatimia
Daaaa! mama usipi kimya bana nakumbushia kanafasi ka kutibu hapo ikulu HOspitalMleta mada mbona mimi siteuliwi wala hata kunifikiria hata kidogo mweee!!!.... na kazi naweza hizi?? niliwahi kuwa Monitor miaka kibao! waziri vyuo vikuu mbali mbali! Kampala kikiwa kimojawapo ebu muelezee Mama bana!! anifikirie!!
najua hata weye Mama unapita pita humu! Nistue hapo in box nije tufanye kazi, sababu hizi kazi naziota sana, mpaka naogopa kulala!! sijui kwa nini.............