Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,423
- 29,084
Tatzo kumpata mCCM hata mmoja mwenye akili ni changamoto Sana anapata taabu Sana anataman akina Profesa J wangekua wabunge labda au akina mnyika Basi hata afanye nao kazi. Imagine katika wabunge anaotakiwa awachague labda wawe mawaziri eti ndo akina Cathy Magige au Babu tale.Waliopo wote hamna kitu pale, hamna wa kumsaidia na yeye anajua. Wote wale ni wezi tu