UTEUZI: Jaffar Haniu ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu); amrithi Gerson Msigwa

hamna shida ni bora apange na kupangua kadiri anavyotaka na kujaaliwa, ili hapo baadae isije ikatuwa lawama kwa waliokuwepo kwamba hawakuwa chaguo lake,ifike siku tujue ameishaclear vilivyoachwa na sasa ni vyake ili tufaidi mambo yake .
Very true . . wakati utaongea
 
Kwa nini msemaji mkuu wa serikali awe tofauti na mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Ikulu?
Tofauti yake ni kubwa sana mzee japo wanaweza kuonekana wako sawa but things are quiet different mkuu.
Presidential communication ni kwa ajili ya mawasiliano ya rais pekee. Yaani ni sawa na kumwita
Presidential aide on Communications kama Marekani wanavyomwita.
Msemaji mkuu wa serikali ana portfolio kubwa zaidi ya usemaji. Anaisemea serikali katika sekta zote. Sio umeme, sio mambo ya nje, sio ulinzi, msemaji ni yeye. Huyu ndiye anasema msimamo wa serikali (kwa maelekezo ya serikali) kuhusu jambo fulani.
 
Jana tu nilikuwa nasoma waraka wa Msigwa wa teuzi, nikasema huyu Rais Hassan kaamua kuonesha urais ni taasisi, anaendelea na Msigwa hajataka kaweka mtu wake.

Yale mawazo yangu yakawa kama yamekorofisha mitambo Ikulu huko.
Hahahahaaaaaa . . yaani nimecheka saanaaaa
 
Rais wa Tanzania kikatiba ana mamlaka makubwa sana ya teuzi, teuzi haziwezi kuisha kwa sababu watu wanaoteuliwa na rais ni wengi sana.

Na kila siku watu wanafariki, wanastaafu etc. Wanatakiwa wengine wateuliwe.

Hivyo teuzi haziwezi kuisha.

Cha kufanya ni kubadilisha mamlaka ya uteuzi rais asiwe na watu wengi sana wa kuwateua.

Siku za nyuma teuzi zilikuwepo, ila zilikuwa hazitangazwi sana. Kipindi cha karibuni hapa ndiyo wameanza kutangaza kila teuzi. Ndiyo maana zinaonekana nyingi sana siku hizi.
Na bado kuna the "quango jungle"
 
Tofauti yake ni kubwa sana mzee japo wanaweza kuonekana wako sawa but things are quiet different mkuu.
Presidential communication ni kwa ajili ya mawasiliano ya rais pekee. Yaani ni sawa na kumwita
Presidential aide on Communications kama Marekani wanavyomwita.
Msemaji mkuu wa serikali ana portfolio kubwa zaidi ya usemaji. Anaisemea serikali katika sekta zote. Sio umeme, sio mambo ya nje, sio ulinzi, msemaji ni yeye. Huyu ndiye anasema msimamo wa serikali (kwa maelekezo ya serikali) kuhusu jambo fulani.
Mtu mmoja atawezaje kuisemea serikali kwenye mambo mengi hivyo?

Huyo msemaji wa serikali huwa ni mtaalamu wa mambo yote ya serikali? Yaani anajua kuhusu uchuro, ulinzi, afya, siasa, sanaa, nk?
 
Uzuri kazi hizi za kuteuliwa ni za muda na kutesa kwa zamu tu. Acheni walioteuliwa wakati huu nao wamege keki ya taifa.....ndo maisha yalivyo. "Nothing is permanent" ata mteuaji naye muda wake utaisha atakuja mwingine naye atakuja na team yake. Kwanza hawa jamaa wanatakiwa kuwa wanaondoka wote ikulu na Rais anayemaliza muda wake hili wasiwe wanaondolewa na ajaye kutunza heshima kwa watu. Ikulu wawe wanabaki wale wanaojulikana kwamba wao kazi yao miaka yote ni pale. Nadhani uanzishwe huo kama nchi za magharibi. Mambo ya mtu kusubiri mpaka Rais Mpya aje kumuondoa si poa.
 
Uzuri kazi hizi za kuteuliwa ni za muda na kutesa kwa zamu tu. Acheni walioteuliwa wakati huu nao wamege keki ya taifa.....ndo maisha yalivyo. "Nothing is permanent" ata mteuaji naye muda wake utaisha atakuja mwingine naye atakuja na team yake. Kwanza hawa jamaa wanatakiwa kuwa wanaondoka wote ikulu na Rais anayemaliza muda wake hili wasiwe wanaondolewa na ajaye kutunza heshima kwa watu. Ikulu wawe wanabaki wale wanaojulikana kwamba wao kazi yao miaka yote ni pale. Nadhani uanzishwe huo kama nchi za magharibi. Mambo ya mtu kusubiri mpaka Rais Mpya aje kumuondoa si poa.
wataenda wapi na wakati hawana issue?
 
Maumivu yakizid muone daktar
Rais Ni Samia Suluhu
Chief Secretary Ni Katanga
Katibu Wa Rais Ni Juma Suleiman
Chief of Protocol Ni Yusuph Mndolwa
DPC Wa Rais Ni Jaffary Haniu

Katika Wasaidizi Binafsi Katika Ofisi Ya Rais Ikulu (OBR) Ambao Jumla Ni 8, Wasaidizi 6 ni Waislamu na Wasaidizi 2 Tu Ndio Wakristo, Ambao Ni Felister Mndeme Maendeleo Ya Jamii na Nehemiah Mandia Sheria
 
Back
Top Bottom