Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ndiyo kesha tupwa tayari sijui unahangaika nini tenaMsigwa alikuwaje kichefuchefu . Acha unafiki ndugu
Ndiyo kesha tupwa tayari sijui unahangaika nini tenaMsigwa alikuwaje kichefuchefu . Acha unafiki ndugu
Ahahah kwa kumtumbua mpango nakataa mkuu!Wee subiri wacha kurukaruka
Hahaha!Mmoja anahusika zaidi na mambo ya ofisi ya rais kama teuzi na tenguzi za rais, mwingine anahusika mambo ya serikali nzima kama kujibu habari za Tanzania kujihusisha kuuzia silaha waasi Burundi.
Mtapata taabu sanaHahaha!
Jen Psaki ni White House spokeswoman.
Ila kila wizara ina msemaji wake mkuu.
Nadhani hivyo ndivyo inafaa iwe.
But I digress. Nisije kuambiwa nahoji kisa simpendi huyo Mama.
Manake sasa hivi hatupaswi kuhoji chochote kile.
Ahahah kwa kumtumbua mpango nakataa mkuu!Wee subiri wacha kurukaruka
Una uhakika sikuuliza?Hili Swali kwanini hukuliuliza wakati wa mwendazake?
Hujawahi kuuliza maana ni ndugu yakoUna uhakika sikuuliza?
Msemaji Mkuu wa serikali anahusika na taarifa za serikali na anatoa ufafanuzi, kauli na msimamo wa serikali juu ya jambo lolote hata la nje ya nchi.Kwa nini msemaji mkuu wa serikali awe tofauti na mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Ikulu?
Rais wa Tanzania kikatiba ana mamlaka makubwa sana ya teuzi, teuzi haziwezi kuisha kwa sababu watu wanaoteuliwa na rais ni wengi sana.Rais sasa hizi teuzi nazo ziishe, umefika muda wa kuchapa kazi. Kuna masuala ya ajira, katiba mpya n.k
Tabu ya nini?Mtapata taabu sana
Taratibu Taratibu Taratiibuuu usije pasuka kwa mihasiraTabu ya nini?
Unayepata tabu ni wewe.
Mimi nipate tabu ya nini? Nimekosa siagi ya kupaka kwenye mkate?
Sina viatu vya kuvaa?
HapanaNimesahau, kumbe alivyokuaa ikulu alikuwa msaidizi wa msingwa? Sio kwamba yy ndio alikuwa mkuu wa mawasiliano kipindi msigwa yupo songea huko
Hahahaaa!Hujawahi kuuliza maana ni ndugu yako
Ahsante kwa kuniwekea kumbukumbu sawa mkuu!Hapana
Walienda na msigwa
Msigwa akiwa Mkurugenzi yeye alikua kaimu mkurugenzi
Urais ni taasisi inayojitegemeaKwa nini msemaji mkuu wa serikali awe tofauti na mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Ikulu?
Tumewafyekeeeeleeeeeeaaaaaaaaa mbaaaaaliiiiiiiii .Hahahaaa!
You have an intellectual ability of an earthworm.
No one more dumb than your stinking wrinkled ass.
You are too dumb for me to even consign you to my ignore list
Hata ukiandika kisukuma kitasomeka tuuuuHahahaaa!
You have an intellectual ability of an earthworm.
No one more dumb than your stinking wrinkled ass.
You are too dumb for me to even consign you to my ignore list
Haniu alikuwa mfamyakazi wa Rostam Azizi.Sure