beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais John Magufuli amewateua Jaji Ferdinand Wambali na Jaji Mwanaisha Athuman Kwariko kuwa Majaji wa Mahakama ya Rufani
Kabla ya uteuzi huu Jaji Wambali alikuwa Jaji Kiongozi na Jaji Mwanaisha alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu
Uteuzi huu umeanza leo Juni 01, 2018 na tarehe ya kuapishwa itatangazwa baadaye
Kabla ya uteuzi huu Jaji Wambali alikuwa Jaji Kiongozi na Jaji Mwanaisha alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu
Uteuzi huu umeanza leo Juni 01, 2018 na tarehe ya kuapishwa itatangazwa baadaye