beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Nicolaus Herman Shombe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC)
Anachukua nafasi ya Marehemu Prof. Damian Gambagambi aliyefariki akiwa katika nafasi hiyo. Kabla ya kuteuliwa, Dkt. Shombe alikuwa Kamishna wa Mipango, Wizara ya Fedha
Anachukua nafasi ya Marehemu Prof. Damian Gambagambi aliyefariki akiwa katika nafasi hiyo. Kabla ya kuteuliwa, Dkt. Shombe alikuwa Kamishna wa Mipango, Wizara ya Fedha