Uteuzi: Diwani wa Kata ya Mbagala, Michael Makwega ateua wasaidizi watatu kushika nyadhifa kwenye ofisi yake

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,343
217,378
Hii ndio awamu ya sasa nchini Tanzania ambapo kila kiongozi anayo mamlaka ya Uteuzi kwenye eneo lake, kama ambavyo Mh Diwani amefanya.

Bado haijafahamika kama wateule hawa wataapishwa lini ili waanze kulitumikia rasmi Taifa.


FB_IMG_1608205172574.jpg
 
Mods watu wenye stress kama huyu dada mleta mada muwa mnawapiga ban angalau kwa wiki tu ili akili ziwakae sawa.

Ni utopolo gani sasa huu umeuleta hapa.?
Halafu kila siku wako busy kuhide posts zetu zilizoshiba kisa tu zinapiga penye ukweli.

All in all huu Uzi ni wa kinafiki na kuendelea kuujadili hapa nikuendekeza unafiki na chuki binfsi.
Nalog off! Maana siyo kuwa pumba hizi.
 
Halafu kila siku wako busy kuhide posts zetu zilizoshiba kisa tu zinapiga penye ukweli.

All in all huu Uzi ni wa kinafiki na kuendelea kuujadili hapa nikuendekeza unafiki na chuki binfsi.
Nalog off! Maana siyo kuwa pumba hizi.
Mkuu huyu diwani ni kutoka ccm
 
Halafu kila siku wako busy kuhide posts zetu zilizoshiba kisa tu zinapiga penye ukweli.

All in all huu Uzi ni wa kinafiki na kuendelea kuujadili hapa nikuendekeza unafiki na chuki binfsi.
Nalog off! Maana siyo kuwa pumba hizi.
Wewe ndo utopolo zaidi yake, tuambie hizo ajira alizotoa Diwani ni Kwa mujibu wa sheria ipi? Cheo cha Katibu wa Diwani kimeanza lini nchi hii? Msemaji wa Diwani analipwa toka fungu gani na majukumu yake yameandikwa kwenye mwongozo gani?
 
Back
Top Bottom