Ukiingia nyumba ya kupanga hata ukute ina kila kitu lazima utataka kuiweka kwa ladha yakoJe mfululizo wa hizi teuzi za kupandisha maSACP kadhaa kwa kuwarusha cheo cha u Deputy Commissioner of Police (DCP) kuwa moja kwa moja ma Commissioner of Polis (CP) ni maandalizi ya kumpata IGP mpya ?
Au ni panga pangua tu ya maofisa wa ngazi za juu wa jeshi la Polisi ili liendane na mahitaji mapya ya awamu ya sita?
Ukiingia nyumba ya kupanga hata ukute ina kila kitu lazima utataka kuiweka kwa ladha yako
Anapiga jaramba kuchukua mikoba ya siro
Anaruhusu vimemo na kufanyia kazi majunguTatizo SSH ameruhusu vimemo, baadhi ya majina yanapenyezwa ikija kufanyika proper vetting unakuta mtu hafai hiyo nafasi. SSH anahitaji kuwa mkali akiendelea kulegezea wapiga deal itakula kwake, haiwezekani kila siku kunakuwa na makosa kwenye uteuzi.
Huyu Wambura ndanu ya mwezi mmoja kapanda vyeo mara nne, katoka Dodoma kaenda Dar kuchukuwa nafasi ya mambosasa mara paap kawa DCI ndani ya wiki mbili duh, Zali zalini
Mpumbavu wewe, kwaiyo wewe una taarifa zaidi za watumishi kuliko Rais???mbona magufuli alikuwa anatengeua na kuteua kila uchao hamkusema?? Majungu gani ayo ambayo Rais kayapokea? au Kuna bwanaako kakosa ulaji ndio yanakutoka ayo dadaAnaruhusu vimemo na kufanyia kazi majungu
Lakini ni Bora kutengua immediately kuliko kuacha MTU ambaye ni incompetent Kwa kuogopa tuu negative reaction ya watu wachache.Mwishowe hili litakuwa kero, kama sio tatizo kabisa!
Inaonyesha huko ndani hawana utulivu bado; sijui itawachukua muda gani waanze kuonekana kufanya mambo kwa uhakika.