MawazoMatatu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2008
- 505
- 61
Wadau mijadala mingi inajadiliwa na kuachwa tu hewani nikimaanisha hakuna hitimisho sasa mi naona nihitimishe hivi MMM mwanakijiji kachemsha kumtetea Mama Simba basi tusubili awahoji wagombea wengine yaani mama kahama na mama .....
nb: usihoji nina ma´mlaka gani kuhitimisha hayo ni maoni yangu na nina haki nayo sambamba na kuwajibika kwayo!
nb: usihoji nina ma´mlaka gani kuhitimisha hayo ni maoni yangu na nina haki nayo sambamba na kuwajibika kwayo!