Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 13,766
- 20,154
Sawahaina ugumu wowote kama sheria ikifwatwa
Sawahaina ugumu wowote kama sheria ikifwatwa
Toka Hiyo kesi inaanza nilijua lazima Sabaya atatoa utetezi huu, maana ni kweli kuna mambo mengi kinyume na sheria Magu alikuwa anawaagiza hawa waovu wenzake. Na Sabaya anataja hayo maagizo ya kupewa na rais, maana anajua kuna wengi sana walikuwa wakiagizwa na Magu kufanya kinyume na sheria, na walikubali maana walikuwa wanafaidika na huo uovu, wao binafsi, na pia walikuwa wanalinda ajira zao kwa kumnufaisha huyo mtu muovu.Mkuu wa wilaya ya Ya Hai anatumwa na Raisi akafanye operation wilaya isio yake ya Arusha? Raisi Hana operative wakuu wa wilaya ya Arusha au mkuu wa mkoa wa Arusha hidden operative wa kufanya hiyo Operation...
Duh!!!!Kwa hiyo Sabaya anataka kusema kuwa tatizo ni huyu kibwengo?
View attachment 1890876
JELA MWAKA MMOJA KWA KOSA LA KUFANYA KAZI NJE YA KITUO CHA KAZI BAADA YA HAPO ANAKUWA HURU MWAKA MMOJA NI SAWA NA MIEZI SITA TUNi utaahira tu, huo ni utetezi wa mfa maji hata akiona unyoya unaelea anaamini unaweza kumsaidi. Huyu ndezi jela kwake haikwepeki ishu ni miaka mingapi tunamuachia hakimu.
Majukumu ya polisi ni yapi!.na majukumu ya mkuu wa wilaya ni yapi!
Hapa kimeumana tunataka katiba mpya
We Màtaga acha kujitoa akili,hii kesi haina tofauti na ya Prof. Mahalu naye wakati alipo shitakiwa alidai alitumwa na aliye kuwa Rais wa awamu ya 3 Mkapa, kweli Mkapa walikuja na kumtetea Mahalau na Mahalu aliachiwa huru...
Aulizwe dikteta Magufuli kama alitoa maelekezo hayo kwa DC badala ya ocd wa eneo husikaDuh.....Mungu anamuona lakini!
Amejitetea kiume sana
Makamu wa Rais Dr Mpango na DC mstaafu Dr Kihongosi watakuwa mashahidi wake muhimu kama katiba inaruhusu.
Rais mstaafu Mkapa aliwahi kupanda kizimbani kumtetea Prof Mahalu pale Kisutu!
Anaweza kufojiAtoe ushahidi wa Audio,
Voice note ndo tutaamini