Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Amejifunga mwenyewe, kwanini aharibu camera za watu?Kwa kitendo cha kukiri kifuatacho ni hukumu tu
Amejifunga mwenyewe, kwanini aharibu camera za watu?Kwa kitendo cha kukiri kifuatacho ni hukumu tu
Siyo rahisi hivyo bwashee!Akimkana hamjui na hajui kuhusu hilo inakuwaje ?
Magufuli aliamini Sabaya ndio anaweza fanya kazi hiyo kwa ufanisi ,na Rais hapangiwiMkuu wa wilaya ya Ya Hai anatumwa na Raisi akafanye operation wilaya isio yake ya Arusha? Raisi Hana operative wakuu wa wilaya ya Arusha au mkuu wa mkoa wa Arusha hidden operative wa kufanya hiyo Operation ?
Sabaya zigo lako Hilo uliwezaje kwenda kufanya military operation nje ya your judistriction? Hiyo Operation alitakiwa afanye Mama Mgwira au mkuu wa wilaya ya Arusha au polisi wilaya ya Arusha au mkoa etc etc but from Arusha.Raisi hawezi ishiwa operatives wa any mission Hana haja ya kutafuta mtu wa Hai kwenda Arusha!!!
Sabaya jambazi wewe kesi Hilo lako usisingizie Marehemu wewe hukujua kuwa Arusha sio eneo lako la judistriction? Kuwa wewe ni
mkuu wa wilaya ya hai? Ungekuwa huna area ya uteuzi utetezi wako unge matter. Lakini mmmmmm .una kesi ya kujibu
Hapo kifungo kinamsubiri hana akili kabisaHaina ugumu wowote. Ameanza vibaya. Mkuu wa Wilaya na kazi maalum za kukamata kamata wahalifu wapi na wapi. Na amejichanganya zaidi kudai alikuwa pia akitekeleza mission hizo nje ya eneo lake la kazi. Atahitaji kithihitisha kisheria kama hicho kikosi alichokuwa akikiongoza kiliundwa kweli, kiliundwaje na kea sheria ipi.
Kuwataja hao aliowataja unadhani ni jambo dogo!......amejitetea kiume?
Subiri siku atakapopelekwa kupakatwa kwa muda wa miaka 7 ndo akili itakukaa sawa.....
Sawa mkuuHaina ugumu wowote. Ameanza vibaya. Mkuu wa Wilaya na kazi maalum za kukamata kamata wahalifu wapi na wapi. Na amejichanganya zaidi kudai alikuwa pia akitekeleza mission hizo nje ya eneo lake la kazi. Atahitaji kithihitisha kisheria kama hicho kikosi alichokuwa akikiongoza kiliundwa kweli, kiliundwaje na kea sheria ipi.
WatamrukaNgoja gavana wa Bot Luoga apande kizimbani kumtetea!
Yaani ndo anajiharibia ingekua hapa america,vijana wa SAD wangetumwa wamalizane nae haraka sanahahah huyu jambazi anajidanganya kuwa akimtaja marehemu Pombe ndiyo atapata unafuu.
Hadi wewe umemgeuka Sabaya? Basi huyo bwana ana hali ngumu sana.Mkuu wa wilaya ya Ya Hai anatumwa na Raisi akafanye operation wilaya isio yake ya Arusha? Raisi Hana operative wakuu wa wilaya ya Arusha au mkuu wa mkoa wa Arusha hidden operative wa kufanya hiyo Operation ?
Sabaya zigo lako Hilo uliwezaje kwenda kufanya military operation nje ya your judistriction? Hiyo Operation alitakiwa afanye Mama Mgwira au mkuu wa wilaya ya Arusha au polisi wilaya ya Arusha au mkoa etc etc but from Arusha.Raisi hawezi ishiwa operatives wa any mission Hana haja ya kutafuta mtu wa Hai kwenda Arusha!!!
Sabaya jambazi wewe kesi Hilo lako usisingizie Marehemu wewe hukujua kuwa Arusha sio eneo lako la judistriction? Kuwa wewe ni
mkuu wa wilaya ya hai? Ungekuwa huna area ya uteuzi utetezi wako unge matter. Lakini mmmmmm .una kesi ya kujibu
Sheria itachukua mkondo wakeAmejifunga mwenyewe, kwanini aharibu camera za watu?
Mjinga kabisa yuleSheria itachukua mkondo wake
Unadhani kwanini viongozi wa Arusha hawakumzuia kufanya hiyo operation?Mkuu wa wilaya ya Ya Hai anatumwa na Raisi akafanye operation wilaya isio yake ya Arusha? Raisi Hana operative wakuu wa wilaya ya Arusha au mkuu wa mkoa wa Arusha hidden operative wa kufanya hiyo Operation ?
Sabaya zigo lako Hilo uliwezaje kwenda kufanya military operation nje ya your judistriction? Hiyo Operation alitakiwa afanye Mama Mgwira au mkuu wa wilaya ya Arusha au polisi wilaya ya Arusha au mkoa etc etc but from Arusha.Raisi hawezi ishiwa operatives wa any mission Hana haja ya kutafuta mtu wa Hai kwenda Arusha!!!
Sabaya jambazi wewe kesi Hilo lako usisingizie Marehemu wewe hukujua kuwa Arusha sio eneo lako la judistriction? Kuwa wewe ni
mkuu wa wilaya ya hai? Ungekuwa huna area ya uteuzi utetezi wako unge matter. Lakini mmmmmm .una kesi ya kujibu
Kwa hiyo Anna Mgwira aliyekuwa RC Kilimanjaro ndiye alikuwa na jurisdiction Arusha?Mkuu wa wilaya ya Ya Hai anatumwa na Raisi akafanye operation wilaya isio yake ya Arusha? Raisi Hana operative wakuu wa wilaya ya Arusha au mkuu wa mkoa wa Arusha hidden operative wa kufanya hiyo Operation ?
Sabaya zigo lako Hilo uliwezaje kwenda kufanya military operation nje ya your judistriction? Hiyo Operation alitakiwa afanye Mama Mgwira au mkuu wa wilaya ya Arusha au polisi wilaya ya Arusha au mkoa etc etc but from Arusha.Raisi hawezi ishiwa operatives wa any mission Hana haja ya kutafuta mtu wa Hai kwenda Arusha!!!
Sabaya jambazi wewe kesi Hilo lako usisingizie Marehemu wewe hukujua kuwa Arusha sio eneo lako la judistriction? Kuwa wewe ni
mkuu wa wilaya ya hai? Ungekuwa huna area ya uteuzi utetezi wako unge matter. Lakini mmmmmm .una kesi ya kujibu
Unadhani kwanini amewataja kama anajua watamruka?Watamruka
Hahahaaaa........!Kwa hiyo Anna Mgwira aliyekuwa RC Kilimanjaro ndiye alikuwa na jurisdiction Arusha?
Ndio atakuwa ameanza kuzamaAkimkana hamjui na hajui kuhusu hilo inakuwaje ?
Ni utaahira tu, huo ni utetezi wa mfa maji hata akiona unyoya unaelea anaamini unaweza kumsaidi. Huyu ndezi jela kwake haikwepeki ishu ni miaka mingapi tunamuachia hakimu.Kuwataja hao aliowataja unadhani ni jambo dogo!
Hii kesi ngumu