kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,716
- 13,183
kama shahidiMpango kizimbani.....hahaha kama mtuhumiwa
kama shahidiMpango kizimbani.....hahaha kama mtuhumiwa
Yes offcourse, lazima athibitishe ayo (solid evidence needed)
Kama alipigiwa simu basi(rycle bin ipo tarifa zitapatikana mtandao husika uliotumiwa au simu ya mezani
Kazi ipo
Chagu wa Malunde njoo usome UGORO wako hapa kama una ujasiriTumia akili kudigest info, Sabaya hajakiri kupiga au kufanya unyang'anyi wa siraha. Amekiri kuwepo Arusha kwa operation maalumu kudeal na wahujumu uchumi. Na anadai alitulwa na hayati JPM huku waziri wa fedha akiwa anafahamu. Sasa kwa nini Mpango asitoe ushahidi.
denooJ, hapa ulitoa hukumu iliyonyooka. HongeraSabaya ameshajimaliza, kitendo chake cha kukiri kuwepo eneo la tukio hata kama anadai alitumwa na mamlaka husika kujinasua kwake itakuwa vigumu, je, alifuata sheria kuingia eneo la mwingine? alikuwa na kibali? kama hakuwa nacho hakuwa na tofauti na jambazi alietumia silaha kufanya uvamizi, hapa Sabaya ameshakiri kosa.
Hivi we mwanasheria njaa unajua kuanalyze facts? Amekiri kuhusika na operation dhidi ya ujujumu uchumi ndio maana anadai alitumwa kwa kazi maalumu, hajakiri kushiriki ujambazi.
Kama mwanasheria ebu tupe ingredients za armed robbery alafu oanisha na tukio la Sabaya. Acha ushabiki
Sabaya ameshajimaliza, kitendo chake cha kukiri kuwepo eneo la tukio hata kama anadai alitumwa na mamlaka husika kujinasua kwake itakuwa vigumu, je, alifuata sheria kuingia eneo la mwingine? alikuwa na kibali? kama hakuwa nacho hakuwa na tofauti na jambazi alietumia silaha kufanya uvamizi, hapa Sabaya ameshakiri kosa.
Njoo upige porojo tenaWewe huna tofauti na Rais Samia kwenye kesi ya Mbowe maana umeshamtia hatiani Sabaya kabla ya maamuzi ya Mahakama. Kumbe mamlaka ya uteuzi wa Sabaya ilikoma baada ya Magufuli kufa? Kwa maana hiyo wale wote walioteuliwa na Magufuli hawana uhalali wa kuendelea na nyadhifa zao? Umeandika ki-BAVICHA mno
Hivi we mwanasheria njaa unajua kuanalyze facts? Amekiri kuhusika na operation dhidi ya ujujumu uchumi ndio maana anadai alitumwa kwa kazi maalumu, hajakiri kushiriki ujambazi.
Kama mwanasheria ebu tupe ingredients za armed robbery alafu oanisha na tukio la Sabaya. Acha ushabiki
Huyu Kamanda Asiyechoka ni matokeo ya weak spermKamanda Asiyechoka upo?
Hizi mambo za Mungu yuko kazini na vigoli wa kuoa, muwe mnazikumbuka mwanzoni siyo mwisho 😁😁
Huyu Kamanda Asiyechoka ni matokeo ya weak sperm
Utabiri umetimiaSabaya kipindi hiki haponi