Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,191
- 12,370
Kuna tetesi kuwa Sabaya ni Tiss na ana kitambulishoSabaya ni jambazi kama majambazi wengine, alijificha nyuma ya koti la hayati.
Kuna tetesi kuwa Sabaya ni Tiss na ana kitambulishoSabaya ni jambazi kama majambazi wengine, alijificha nyuma ya koti la hayati.
Hawa maRC na maDC asilimia kubwa ni majambazi tuMadai ya Sabaya naweza kuyafananisha na tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu. Hivi wale waliompiga risasi TL wakifahamika na kufikishwa mahakamani, je wakijitetea kuwa walipata maagizo kutoka juu utetezi huo utawasaidia? Hapana hauwezi kuwasaidia.
Kwenye ushahidi mahakamani anakuja aliyetoa amri. Kama ilitoa taasisi ije taasisi kama alitoa mtu aje huyo mtu. Taasisi inatoa amri kwa maandishi tofauti na mtu anayeweza kutoa amri kwa maneno au ishara. Mleta mada kasema anamsubiri Sabaya alete ushahidi wa huyo "Mamlaka ya Uteuzi".... ghafla urais umekoma kuwa taasisi kufuatia sakata la Sabaya? Wakuu wengine wote wa wilaya na wateule wengine wa toka enzi za awamu iliyopita nao mamlaka zao za uteuzi hazipo tena au ni kwa Sabaya tu? Sijaelewa!
Nne, Sabaya amedai kuwa yeye bado ni mtumishi wa serikali. Hakusema ni kwa nafasi ipi na ana majukumu gani. Hilo nalo anapaswa aliweke sawa kwa ushahidi.Lengai Ole Sabaya, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, ameanza kujitetea kwenye kesi yake ya jinai yenye sura ya uporaji, kujeruhi na kutesa.
Soma hapa >> Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu
Utetezi wake, kadiri nilivyomsikiliza, naugawa kwenye sehemu zifuatazo.
Mosi, yapo aliyoyakiri. Amekiri kufika sehemu ya tukio kwa kutaja jina hilohilo na mahali palepale. Na akamtaja mmiliki huyohuyo ambaye ametajwa kwenye mashtaka na ushahidi. Hapa, ana kazi ya kukanusha kiushahidi kutofanya yote anayoshtakiwa nayo.
Pili, amesema kuwa alifanya aliyoyafanya akitekeleza maagizo ya mamlaka ya uteuzi. Ameeleza kuwa alikuwa sehemu ya tukio kutekeleza maagizo ya mamlaka ya uteuzi. Hapa, Sabaya atapaswa kuwasilisha maagizo hayo ili kuona kuwa hakuvuka mipaka. Maagizo husika lazima yawasilishwe mahakamani ili aaminike. Nyaraka au sauti ni muhimu hapa.
Tatu, amejipambanua mahakamani kuwa yeye alikuwa zaidi ya Mkuu wa Wilaya. Kuwa yeye alikuwa akiongoza au kushiriki operesheni mbalimbali zilizokuwa zikiagizwa na mamlaka yake ya uteuzi. Hapa ndipo alipowataja Makamu wa Rais na Gavana wa Benki Kuu kama watu waliofahamu operesheni mojawapo iliyofanyika Dar es Salaam.
Kimsingi, hapo Sabaya anapaswa kuwasilisha ushahidi wa hilo kwa maana ya uteuzi wenye hadidu rejea za operesheni hizo pamoja na kuwapata aliowataja kama mashahidi wake. Waliotajwa wanapaswa kuja kukiri kufahamu operesheni hiyo ya Dar ambayo hatahivyo haisaidii wala haina uhusiano wowote na kesi husika huko Arusha.
Nne, Sabaya amedai kuwa yeye bado ni mtumishi wa serikali. Hakusema ni kwa nafasi ipi na ana majukumu gani. Hilo nalo anapaswa aliweke sawa kwa ushahidi.
Kiujumla, utetezi wa Sabaya umetanua sana uwanja na kumuweka kwenye kazi ngumu sana kuchomoka kwenye kesi yake. Ameanzisha mambo mengi yanayohitaji ushahidi. Na ushahidi mwingine wa maneno hautapatikana kwakuwa yeye mwenyewe amekataa kuwataja alioambatana nao kwenda sehemu ya tukio siku husika. Pia, mamlaka yake ya uteuzi haipo tena.
Mahakamani kunahitajika ushahidi wa kuthibitisha unachokisema. Unaweza kuwa wa nyaraka, maneno au vyote. Ushahidi mzuri ni wa wengine wanaokuja kuushadidia ushahidi wako. Kunapokosekana ushahidi, maneno yanabaki porojo isiyo na maana yoyote.
hata mm nilisikia hilo mana jamaa anajiamini mixer kupunga mikono na kuchekacheka akiamini hata akifungwa hatookaa sana mana atapangiwa jukumu lingine la usalamaKuna tetesi kuwa Sabaya ni Tiss na ana kitambulisho
Urais sio mtu ,,,,lakini ,,rais ni mtu,,,Thanks Mkuu, I was about to ask the same question
Urais sio mtu Urais ni Taasisi
Sent from my TECNO KD7h using JamiiForums mobile app
Kama kutochomoka alitakiwa ashitakiwe kwa kosa la maumizi mabaya ya ofisi, sio unyanga'nyi wa kutumia siraha.Wewe ndiyo huna akili, Sabaya hawezi kutumia defence ya Magufuli bila ushahidi wa maandishi. Mpango kujuwa uwapo wa operesheni siyo ruksa kwa Sabaya kufanya jinai. Amekiri kuwapo kwenye duka lililotajwa na amekiri kumkuta mtu anayedaiwa kupigwa na kunyang'anywa fedha.
HACHOMOKI
Kwani kuna jambazi huwa anakubali kuwa alinyang'anya? Ni ushahidi kutoka prosecution side ndiyo unaothibitisha unyang'anyi. Yeye kukiri kuwapo pale kunajenga mazingira ya kuthibitisha.Kama kutochomoka alitakiwa ashitakiwe kwa kosa la maumizi mabaya ya ofisi, sio unyanga'nyi wa kutumia siraha.
Amekiri kuwepo kwenye duka lilitotajwa kufanya operation maalumu ya uhujumu uchumi, hajakiri kufanya ujambazi.
Acha kuleta mahaba yako.
Acha kulazimisha mambo. Kwenda kufanya kazi maalumu ndio ujambazi?Kwani kuna jambazi huwa anakubali kuwa alinyang'anya? Ni ushahidi kutoka prosecution side ndiyo unaothibitisha unyang'anyi. Yeye kukiri kuwapo pale kunajenga mazingira ya kuthibitisha.
Hakimu ataunganisha maelezo yake kisha atachanganya na ya prosecution na hatimaye atatoa uamuzi
Kwani kuna jambazi huwa anakubali kuwa alinyang'anya? Ni ushahidi kutoka prosecution side ndiyo unaothibitisha unyang'anyi. Yeye kukiri kuwapo pale kunajenga mazingira ya kuthibitisha.
Hakimu ataunganisha maelezo yake kisha atachanganya na ya prosecution na hatimaye atatoa uamuzi
safi sanaLengai Ole Sabaya, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, ameanza kujitetea kwenye kesi yake ya jinai yenye sura ya uporaji, kujeruhi na kutesa.
Soma hapa >> Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu
Utetezi wake, kadiri nilivyomsikiliza, naugawa kwenye sehemu zifuatazo.
Mosi, yapo aliyoyakiri. Amekiri kufika sehemu ya tukio kwa kutaja jina hilohilo na mahali palepale. Na akamtaja mmiliki huyohuyo ambaye ametajwa kwenye mashtaka na ushahidi. Hapa, ana kazi ya kukanusha kiushahidi kutofanya yote anayoshtakiwa nayo.
Pili, amesema kuwa alifanya aliyoyafanya akitekeleza maagizo ya mamlaka ya uteuzi. Ameeleza kuwa alikuwa sehemu ya tukio kutekeleza maagizo ya mamlaka ya uteuzi. Hapa, Sabaya atapaswa kuwasilisha maagizo hayo ili kuona kuwa hakuvuka mipaka. Maagizo husika lazima yawasilishwe mahakamani ili aaminike. Nyaraka au sauti ni muhimu hapa.
Tatu, amejipambanua mahakamani kuwa yeye alikuwa zaidi ya Mkuu wa Wilaya. Kuwa yeye alikuwa akiongoza au kushiriki operesheni mbalimbali zilizokuwa zikiagizwa na mamlaka yake ya uteuzi. Hapa ndipo alipowataja Makamu wa Rais na Gavana wa Benki Kuu kama watu waliofahamu operesheni mojawapo iliyofanyika Dar es Salaam.
Kimsingi, hapo Sabaya anapaswa kuwasilisha ushahidi wa hilo kwa maana ya uteuzi wenye hadidu rejea za operesheni hizo pamoja na kuwapata aliowataja kama mashahidi wake. Waliotajwa wanapaswa kuja kukiri kufahamu operesheni hiyo ya Dar ambayo hatahivyo haisaidii wala haina uhusiano wowote na kesi husika huko Arusha.
Nne, Sabaya amedai kuwa yeye bado ni mtumishi wa serikali. Hakusema ni kwa nafasi ipi na ana majukumu gani. Hilo nalo anapaswa aliweke sawa kwa ushahidi.
Kiujumla, utetezi wa Sabaya umetanua sana uwanja na kumuweka kwenye kazi ngumu sana kuchomoka kwenye kesi yake. Ameanzisha mambo mengi yanayohitaji ushahidi. Na ushahidi mwingine wa maneno hautapatikana kwakuwa yeye mwenyewe amekataa kuwataja alioambatana nao kwenda sehemu ya tukio siku husika. Pia, mamlaka yake ya uteuzi haipo tena.
Mahakamani kunahitajika ushahidi wa kuthibitisha unachokisema. Unaweza kuwa wa nyaraka, maneno au vyote. Ushahidi mzuri ni wa wengine wanaokuja kuushadidia ushahidi wako. Kunapokosekana ushahidi, maneno yanabaki porojo isiyo na maana yoyote.
Wewe huna tofauti na Rais Samia kwenye kesi ya Mbowe maana umeshamtia hatiani Sabaya kabla ya maamuzi ya Mahakama. Kumbe mamlaka ya uteuzi wa Sabaya ilikoma baada ya Magufuli kufa? Kwa maana hiyo wale wote walioteuliwa na Magufuli hawana uhalali wa kuendelea na nyadhifa zao? Umeandika ki-BAVICHA mnoLengai Ole Sabaya, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, ameanza kujitetea kwenye kesi yake ya jinai yenye sura ya uporaji, kujeruhi na kutesa.
Soma hapa >> Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu
Utetezi wake, kadiri nilivyomsikiliza, naugawa kwenye sehemu zifuatazo.
Mosi, yapo aliyoyakiri. Amekiri kufika sehemu ya tukio kwa kutaja jina hilohilo na mahali palepale. Na akamtaja mmiliki huyohuyo ambaye ametajwa kwenye mashtaka na ushahidi. Hapa, ana kazi ya kukanusha kiushahidi kutofanya yote anayoshtakiwa nayo.
Pili, amesema kuwa alifanya aliyoyafanya akitekeleza maagizo ya mamlaka ya uteuzi. Ameeleza kuwa alikuwa sehemu ya tukio kutekeleza maagizo ya mamlaka ya uteuzi. Hapa, Sabaya atapaswa kuwasilisha maagizo hayo ili kuona kuwa hakuvuka mipaka. Maagizo husika lazima yawasilishwe mahakamani ili aaminike. Nyaraka au sauti ni muhimu hapa.
Tatu, amejipambanua mahakamani kuwa yeye alikuwa zaidi ya Mkuu wa Wilaya. Kuwa yeye alikuwa akiongoza au kushiriki operesheni mbalimbali zilizokuwa zikiagizwa na mamlaka yake ya uteuzi. Hapa ndipo alipowataja Makamu wa Rais na Gavana wa Benki Kuu kama watu waliofahamu operesheni mojawapo iliyofanyika Dar es Salaam.
Kimsingi, hapo Sabaya anapaswa kuwasilisha ushahidi wa hilo kwa maana ya uteuzi wenye hadidu rejea za operesheni hizo pamoja na kuwapata aliowataja kama mashahidi wake. Waliotajwa wanapaswa kuja kukiri kufahamu operesheni hiyo ya Dar ambayo hatahivyo haisaidii wala haina uhusiano wowote na kesi husika huko Arusha.
Nne, Sabaya amedai kuwa yeye bado ni mtumishi wa serikali. Hakusema ni kwa nafasi ipi na ana majukumu gani. Hilo nalo anapaswa aliweke sawa kwa ushahidi.
Kiujumla, utetezi wa Sabaya umetanua sana uwanja na kumuweka kwenye kazi ngumu sana kuchomoka kwenye kesi yake. Ameanzisha mambo mengi yanayohitaji ushahidi. Na ushahidi mwingine wa maneno hautapatikana kwakuwa yeye mwenyewe amekataa kuwataja alioambatana nao kwenda sehemu ya tukio siku husika. Pia, mamlaka yake ya uteuzi haipo tena.
Mahakamani kunahitajika ushahidi wa kuthibitisha unachokisema. Unaweza kuwa wa nyaraka, maneno au vyote. Ushahidi mzuri ni wa wengine wanaokuja kuushadidia ushahidi wako. Kunapokosekana ushahidi, maneno yanabaki porojo isiyo na maana yoyote.
Sawa, kunywa chai sasaWewe huna tofauti na Rais Samia kwenye kesi ya Mbowe maana umeshamtia hatiani Sabaya kabla ya maamuzi ya Mahakama. Kumbe mamlaka ya uteuzi wa Sabaya ilikoma baada ya Magufuli kufa? Kwa maana hiyo wale wote walioteuliwa na Magufuli hawana uhalali wa kuendelea na nyadhifa zao? Umeandika ki-BAVICHA mno
You mean kama alitumwa na rais it means alitumwa na taasisi, right? Je mtu hawezi kutumia jina la taasisi kufanya mambo yake binafsi?Thanks Mkuu, I was about to ask the same question
Urais sio mtu Urais ni Taasisi
Sent from my TECNO KD7h using JamiiForums mobile app
Nimeisikia clip, bado haimu - exonerate Sabaya kwenye jinai aliyotenda