Yoyote aliyopata aliibia mtihaniwaliosoma na Msigwa hivi alipata division ngapi vile?!!!!!
Huyu maza ni katili kupita kiasiUhuru unapokosekana Ni hatati kwa taifa.
Oh wewe kweli ni akili nene kweli nasi akili kubwaUtetezo ovyo kabisa. Hivi watu kama hawa wasiojua hata kujieleza kimantiki walipataje usajili wa kuwa na gazeti?
Ni ngumu kwa uwezo wako mdogo kujua maana ya akilinene.Oh wewe kweli ni akili nene kweli nasi akili kubwa
Hebu someni wenyewe utetezi na adhabu ndio utajua kuwa watu walikuwa na adhabu tayari kabla ya utetezi.
Tanzania bana End justify means badala ya means kujustify end View attachment 1925481View attachment 1925482View attachment 1925484View attachment 1925485
Jamaa wanazidi kuthibitisha kuwa hawana umakini na wamefungiwa kwa haki. Angalia tarehe ya barua yao ni 5 Agost 2021 wakati wanajibu barua iliyowafungia ya tarehe 3 Septemba 2021. Watu wa ajabu kabisa. Yaani walijibu hoja kabla hata hawajafungiwa?Hebu someni wenyewe utetezi na adhabu ndio utajua kuwa watu walikuwa na adhabu tayari kabla ya utetezi.
Tanzania bana End justify means badala ya means kujustify end View attachment 1925481View attachment 1925482View attachment 1925484View attachment 1925485
Kuna kitu hakipo sawa. Barua inasema imeandikwa Tarehe 5 Agosti, ila matukio ya kutuhumiwa yametokea tareh 27 na kuendelea. Au walikosea, walitaka andika Tarehe 5 September?Hebu someni wenyewe utetezi na adhabu ndio utajua kuwa watu walikuwa na adhabu tayari kabla ya utetezi.
Tanzania bana End justify means badala ya means kujustify end View attachment 1925481View attachment 1925482View attachment 1925484View attachment 1925485