impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,733
- 7,610
Nimekuwa nikisikia uhakiki wa wakulima fake wa Korosho kunyanganywa Korosho baada ya kukosa kuonyesha mashamba wanayomiliki hii sio haki.
Mwaka 2013 Nilikuwa na rafiki yangu (marehem kwa Sasa) katika wilaya ya Ruangwa, wakulima walikuwa wakimfuata kuomba ufadhiri wa pesa ya dawa kwa makubaliano ya kutoa Korosho kipindi Cha mavuno alinisihi kupitia yeye nilitoa pesa kwa wakulima 45 katika vijiji vya Nangurugai,Machang'anja, Njenga na chikwale vilivyopo kata ya Narung'ombe.
Baada ya mavuno nililetewa Korosho ili walipe Deni ninalodai kiasi Cha kilo 4640.
Je ingekuwa 2018 si ningenyanganywa Korosho nilizopata kihalali Tena kwa kuwawezesha wanainchi waliokuwa hawana uwezo wa kupata pembejeo?
Serikali waacheni wenye Korosho wasio na mashamba wamezipata kihalali na wao ndio wawezeshaji wakubwa wa kutoa pembejeo kwa wakulima kwa muda muafaka mnawaweka wakulima ktk wakati mgumu mwakani hawatapata pembejeo na Serikali mara nyingi mnapeleka pembejeo muda ukiwa umekwisha au mahitaji kidogo ya kinachotakiwa.
Ahsante
Mwaka 2013 Nilikuwa na rafiki yangu (marehem kwa Sasa) katika wilaya ya Ruangwa, wakulima walikuwa wakimfuata kuomba ufadhiri wa pesa ya dawa kwa makubaliano ya kutoa Korosho kipindi Cha mavuno alinisihi kupitia yeye nilitoa pesa kwa wakulima 45 katika vijiji vya Nangurugai,Machang'anja, Njenga na chikwale vilivyopo kata ya Narung'ombe.
Baada ya mavuno nililetewa Korosho ili walipe Deni ninalodai kiasi Cha kilo 4640.
Je ingekuwa 2018 si ningenyanganywa Korosho nilizopata kihalali Tena kwa kuwawezesha wanainchi waliokuwa hawana uwezo wa kupata pembejeo?
Serikali waacheni wenye Korosho wasio na mashamba wamezipata kihalali na wao ndio wawezeshaji wakubwa wa kutoa pembejeo kwa wakulima kwa muda muafaka mnawaweka wakulima ktk wakati mgumu mwakani hawatapata pembejeo na Serikali mara nyingi mnapeleka pembejeo muda ukiwa umekwisha au mahitaji kidogo ya kinachotakiwa.
Ahsante