Utenzi wa Buriani Mzee Reginald Mengi - Alijitabiria Mauti...???

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,460
39,928
Nilipata bahati kidogo tu ya kufahamiana na Marehemu Mzee Mengi. Katika maombolezo yanayoendelea sasa nimejikuta nikikumbuka mkutano wake mmoja na vyombo vya habari ambapo alizungumzia jambo ambalo linaweza kuwa ni utabiri wa mauti... utenzi huu na video niliyoambatanisha nayo mwishoni kwa heshima yake. Alikuwa na anendelea kuwa mfano wa watu ambao walisimama na wapiga vita ufisadi...

 
Nilipata bahati kidogo tu ya kufahamiana na Marehemu Mzee Mengi. Katika maombolezo yanayoendelea sasa nimejikuta nikikumbuka mkutano wake mmoja na vyombo vya habari ambapo alizungumzia jambo ambalo linaweza kuwa ni utabiri wa mauti... utenzi huu na video niliyoambatanisha nayo mwishoni kwa heshima yake. Alikuwa na anendelea kuwa mfano wa watu ambao walisimama na wapiga vita ufisadi...


Kimsingi kifo ni kitu cha uhakika kukiko mambo yote ya maisha ya mwanadamu, ni rahisi kusema utakufa na ukafa kuliko kutabiri mengineyo na hatma ya kifo chetu tunaijua kutokana na maisha yetu...

Kila mtu anajua ameacha alama gani duniani
 
Duh, mzee naona umeona ujitokeze kwenye kifo cha mtu maarufu. Mzee Mwanakijiji mimi niite siku ukitunga shairi la kupinga maovu yanayoendelea sasahivi nchini: vifo/kupotea kwa wakina Ben Saanane, Azory Gwanda etc, Watanzania kuokotwa wakiwa mahututi wakiwa wamepigwa wameumizwa kiasi huwezi hata kuwaangalia - then husikii chochote baada ya hapo zaidi ya mikwara kwamba hayo masuala yasizungumziwe tena hadharani. Nasikitika kifo cha Mengi, lakini nasikitika zaidi vifo vya wale ambao huenda wamekufa kupitia mateso yasiyoelezeka kwasababu za kisiasa.
 
Nilipata bahati kidogo tu ya kufahamiana na Marehemu Mzee Mengi. Katika maombolezo yanayoendelea sasa nimejikuta nikikumbuka mkutano wake mmoja na vyombo vya habari ambapo alizungumzia jambo ambalo linaweza kuwa ni utabiri wa mauti... utenzi huu na video niliyoambatanisha nayo mwishoni kwa heshima yake. Alikuwa na anendelea kuwa mfano wa watu ambao walisimama na wapiga vita ufisadi...

Shairi ni zuri sana mkuu, hongera, ila kuna swali la mdau juu ya ukimya wako juu ya utawala wa sasa, je na wewe ni mmoja wao?
 
Kifo kiko kwa kila mtu na wakati wowote.
Kutabiri kifo ni kumsuta muumba wako.
Sali kama unakufa leo na fanya biashara zako kama utaishi milele.
 
Nilipata bahati kidogo tu ya kufahamiana na Marehemu Mzee Mengi. Katika maombolezo yanayoendelea sasa nimejikuta nikikumbuka mkutano wake mmoja na vyombo vya habari ambapo alizungumzia jambo ambalo linaweza kuwa ni utabiri wa mauti... utenzi huu na video niliyoambatanisha nayo mwishoni kwa heshima yake. Alikuwa na anendelea kuwa mfano wa watu ambao walisimama na wapiga vita ufisadi...


As far as it has been known from time immemorial death is certain... Sasa inakuwaje au inawezekanaje MTU kujitabiria kifo? Can one predict an event which is certain?
 
Nilipata bahati kidogo tu ya kufahamiana na Marehemu Mzee Mengi. Katika maombolezo yanayoendelea sasa nimejikuta nikikumbuka mkutano wake mmoja na vyombo vya habari ambapo alizungumzia jambo ambalo linaweza kuwa ni utabiri wa mauti... utenzi huu na video niliyoambatanisha nayo mwishoni kwa heshima yake. Alikuwa na anendelea kuwa mfano wa watu ambao walisimama na wapiga vita ufisadi...


NAKUPA KONGOLE MZEE MWANAKIJIJI, UMEJITAHIDI KUTUNGA NA KUGHANI BAADA YA MIAKA MINGI.
 
Kujitabiria mauti kukoje huku na mtu unajuaje kuwa huyu anajitabiria kifo?

NI vizuri kujua maana ya matumizi ya maneno; hakuna mtu anayejua siku yake ya kufa. Ni pale mtu anapokufa ndio watu tunaangalia nyuma na kusema tu kuwa kitu fulani hivi kinakuwa ni kama "premonition"... Yesu peke yake alijua siku yake ya kufa ilikuwa inakaribia na alisema hivyo.
 
Shairi ni zuri sana mkuu, hongera, ila kuna swali la mdau juu ya ukimya wako juu ya utawala wa sasa, je na wewe ni mmoja wao?
Ila mbona si mkimya hivyo; sema watu wanachagua kunisoma; wanataka niwe kama "fulani" ili nionekane nimefit mahali fulani. Tuomboleze kwanza...
 
Kwa kuwa unafurahia "ushetani" wa utekaji wala huoni hata sababu ya kupiga kelele kuhusiana na swala la Mdude!

You have gone from hero to zero by siding with oppressors
 
Ila mbona si mkimya hivyo; sema watu wanachagua kunisoma; wanataka niwe kama "fulani" ili nionekane nimefit mahali fulani. Tuomboleze kwanza...


Siyo kweli Mzee. Kuwa mkweli for a minute. Umebadilika na hilo lipo wazi. Angalia maandiko yako ya wakati wa Kikwete na sasa. Ushahidi upo hapo. Mimi siyo 'partisan' kabisa. But I can tell that you have changed substantially. Hukosoi utawala wa Magufuli moja kwa moja. In fact, you now come across like a spin machine for the current administration. Ulikuwa unakosoa tawala zilizopita moja kwa moja. What changed? Tunaona ulivyobadilika. Na hiyo inakaribisha hisia hasi kwamba huenda una mahaba binafsi na utawala uliopo kiasi cha kufumbia macho maovu yanayoendelea nchini.

It is really unfortunate that a vocal voice such as yours has become silent at a time when people are disappearing, dying, being harassed in broad daylight, getting jailed for frivolous reasons, and you think you haven't confused people with your about-face?
Angalia ulivojikanyaga suala la maoni yako kuhusu Lowasa kurudi CCM alipo rafiki yako Slaa sasahivi. Ukaishia kusema aulizwe yeye mwenyewe Slaa. But siku za nyuma ulimsemea Slaa kuliko hata mke wa Slaa Josephine Mushumbusi alivyomsemea mume wake. Duh, brother rudi kundini. Kuna watu tuliipenda JF kwasababu ya kuvutiwa na neutral voices kama za kwako kipindi kile. Sasahivi imekuwa bora hata kusoma posts za partisans kama wakina Jinga Lao, Salary Slip kuliko kusoma posts za watu kama wewe - at least partisan commentetors are honest about their ideological positions.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom