Neybright
JF-Expert Member
- Feb 1, 2017
- 5,690
- 14,473
Nitajitahidi maana nahis kupitwa na vitamu tamuahahahhaa madongo live !tafuta uone tofauti
Nitajitahidi maana nahis kupitwa na vitamu tamuahahahhaa madongo live !tafuta uone tofauti
AHSANTE kwa herufi kubwa manake hicho ndicho nilikuwa nafikiria... nilikuwa najiuliza ikiwa pale SUA wana-deal na huu mmea.mie nimeipata sua
Ahsante Mbitiyaza...karibu
Asante sana Mbiti. Hii juice niliinywa sehemu, nikaipenda sana, nikatamani nikifika nyumbani niitengeneze mwenzangu nae aifaudu. Basi mhudumu akanielekeza juu juu.
Baada ta heka heka zote za kublend na kuchuja nikachemsha maziwa na kuchanyanya. Oooh! Juice yote ikajikata na biashara ikaishia hapo.
Sasa naomba unielekeze namna ya kupambana na zile nyuzi zake na uzito coz inasumbua sana wakati wa kuchuja. Wewe unatumia mbinu gani?
Mimi huwa natumia chujio la chuma , juice inatoka nzito, nyuzi hazileti shida sanaAsante sana Mbiti. Hii juice niliinywa sehemu, nikaipenda sana, nikatamani nikifika nyumbani niitengeneze mwenzangu nae aifaudu. Basi mhudumu akanielekeza juu juu.
Baada ta heka heka zote za kublend na kuchuja nikachemsha maziwa na kuchanyanya. Oooh! Juice yote ikajikata na biashara ikaishia hapo.
Sasa naomba unielekeze namna ya kupambana na zile nyuzi zake na uzito coz inasumbua sana wakati wa kuchuja. Wewe unatumia mbinu gani?
Unasaga na blender au unakamua kama ukwaju?Mimi huwa natumia chujio la chuma , juice inatoka nzito, nyuzi hazileti shida sana
Nasaga na blenderUnasaga na blender au unakamua kama ukwaju?
hello wapenzi mnaopenda kula vizuri
Leo nataman tushee hili tunda la stafeli !ni tunda pendwa na adimu kias chake !tumezoea kutengeneza juice za maembe,nanasi,parachichi
hebu leo tutengeneze juice ya tunda la stafeli
.....Andaa sfateli lako lililoiva vizuri utoe mbegu zote
.....saga juice yako weka sukari ya kawaida
.....kama una uwezo tupia na maziwa fresh humo usagie
......tupia na vi strawberry kias kuongeza mvuto wa rangi na ladha(inakuwa na rangi nzuri sana )
hifadhi kwenye friji au tupia na vicubes vya ice unapoinywa !waweza inywea na chapat ya nyama ya kusaga safi mnooo !
View attachment 638763View attachment 638762
MBITIYAZA hujasema hii juice inaongeza nini.........
anyway mimi nliomba uje home unifundishe namna ya kutengeneza hiyo juice..halafu nitupie na strawberries humo kwa ndani nione utamu wake
inazuia mno kansa ! na inahamasisha matukio nyeti nyeti !we kula strawberry ingia kwenye mechi za mchangani !utajikubali! ni nzuri mno !yaan km una' kichwa' fanya kunywa kwa raha zote atleast week moja ! ngj nipate nauli nije nikutengenezee huko huko kwako !
my ribs !oh mbitiyaza !Aisee.. Usibubiri kupata nauli nitumie hapa namba yako ya mpesa. 500,000 kwa nauli inatosha? Nisamehe ni pesa ndogo ila ndo hivyo nipo juu ya mawe ... Uje ufanye haraka basi na uje ukiwa fresh kwa ajili ya juice fresh
Basi mwnzio huwa najua simu imeita imekata... Kumbe nakuwa nime "kudiku" tu? Unajua sisi wengine tupo busy so simu tunapiga mtu ikiita mara moja kama hajapokea tunakata.hatutak usumbufu na wakati ni mali pia.basi ntakutumia ingawa roho inaniuma we mtu wangu sana...ni aibu mimi kukutumia 500,000 ya nauli toka huko kwenu mbagala mwisho mpaka kijitonyama. Ingekuwa ndo enzi zile...mbona ningekutumia hedikopta kabisa ije kukuchukua... Mi sipendi shida sema tu ndo zimeniganda kama ngozi
Naomba mbegu😜zuri kwakweli mwanangu !jaribu hiyo pia !nimebahatika kupata miche yake bas kila mara naiangalia ikue tu jaman !lol