Utendaji wa wataalamu wetu wa afya hauridhishi

Iliwahi kunikuta Hospitali moja kubwa mkoa wa pwani ya serikali,nimempeleka mtoto wangu pumu imembana,ikafika zamu yangu kuingia akaingia jamaa inaonekana anafahamiana na yule daktari wa kike,basi walipiga story karibu nusu saa,nilipoingia ananiambia unauhakika kama ni pumu,tena huku anaperkuwa simu yake,nikamwambia sio mara yake ya kwanza kubanwa,akaniuliza anatumia dawa gani akibanwa,nikamwabia ni Nebulizer inhaler huwa ni very effective kwake,akasema unajua inabidi umpeleke kwenye hospitali anakotibiwa,nikipiga hesabu ni karibu km 15 mpaka hiyo hospitali,na kama unavyojua foleni za Dar,nikaishiwa nguvu mtoto nguvu zimesha ,ameshatapika mara kadhaa kanyon'gonyea,sikuwa na ujanja ikanibidi nichukue Taxi,ni hivyo tu siku yake ilikuwa bado Mungu akanisaidia nikafika salama na mtoto akapatiwa matibabu...
Pole sana mkuu lakini kwa tatizo la pumu mtoto akitumia nebuliser asubuhi kabla hajakwenda shuke na usiku kabla hajalala si rahisi kupata attacks. Si anazo zote mbili ya blue na brown?

Turudi kwenye mada ni kuwa hakuna medical negligence claims, bill ikiwafikia watawajibika.
 
Pole sana mkuu lakini kwa tatizo la pumu mtoto akitumia nebuliser asubuhi kabla hajakwenda shuke na usiku kabla hajalala si rahisi kupata attacks. Si anazo zote mbili ya blue na brown?

Turudi kwenye mada ni kuwa hakuna medical negligence claims, bill ikiwafikia watawajibika.
Nilikuwa bado sijapewa wakati huo ila kwa sasa ninazo,alikuwa anawekewa ile ya hospitali,kimashine flani kinafunika pua halafu anawasha kinatumia umeme ndani yake kunakuwa kama kuna maji yanachemka...
 
Nilikuwa bado sijapewa wakati huo ila kwa sasa ninazo,alikuwa anawekewa ile ya hospitali,kimashine flani kinafunika pua halafu anawasha kinatumia umeme ndani yake kunakuwa kama kuna maji yanachemka...
Ile ya hospitali sasa ndiyo nebuliser, hii ya blue na brown ni pump.
 
Watendaji wengi hawafuati miiko ya kitaaluma. Kuanzia lugha wanayotumia hata attitude.

Kati ya mgonjwa na mgonjwa daktari anatembelewa na rafiki yake wanaanza kusogoa wakati nje wagonjwa wako kwenye foleni wengine wametoka nyumbani saa 11 alfajiri bila kifungua kinywa.

Tulikwenda hospitali na ndugu yangu, wakati wa kupima BP nesi alipokea simu iliyokuwa mfukoni mwake. Aliongea kwanza baada ya maongezi pasipo kutuomba radhi alirekodi vipimo. Nilimuomba arudie zoezi ili tupate uhakika aliniambia nisumfundishe kazi.

Hizo lugha chafu wanazopewa wamama wajawazito wala hazisemeki. Udhalilishaji umekuwa sehemu ya kazi.

Bodi za kitaaluma angalieni jinsi mtakavyo boresha nidhamu ya utendaji kazi. Huduma za afya ni moja ya mahitaji makuu ya wananchi.

Huduma mbovu ni tatizo la ofisi karibia zote za umma.

.................Bora hata ukutane na mhudumu wa kiume dada zetu wamekuwa wa moto.
 
Kama tatizo ni wamama kushindwa kujifungua research ifanyike ili tatizo lijulikane na wataalamu wetu walitolee ufumbuzi. Kupiga wazazi si njia sahihi

Siku tukiamka na hospitali iwajibishwe kwa unyanyasaji mama alipwe pesa kwa kunyanyaswa wauguzi watafuata miiko ya kazi.
Issue kubwa nlioona ni uhaba wa watumishi hasa hospitali zinazohudumia wananchi wanyonye kwa ngazi ya wilayaa

Sikubali kabisa swala la kupiga wajawazito lakini situation ndo zinazosababisha wanakutana na hayo

Namfano haii nmeona mwenyewe kutoka hospital moja apa nchini ya wilaya

Wadi ya wazazi ina

#Antenatal kuna wagonjwa wanaitaji huduma
#Post natal kuna wagonjwa wanaitaji huduma
#Post operative kuna wagonjwa wanaitaji huduma
#kangaroo mother care kuna wagonjwa wanaitaji huduma

#Kubwa kabisa kuna labor unit wanakojifungua
Wapo wanaitaji huduma ya haraka


IYO WARD NA SEHEMU ZOTE IZO NLIZOTAJA ZINA WAUGUZI WAWILI TU IMAGINE

na ikitokea emergence operation anatoka muuguzi mmoja kuenda kuchukua mtoto na kufanya neonatal resuscitation ikihitajika kwaiyo anabaki mmoja

Uyo mmoja ndo atasimamia kote kule alafu inatokea mama analeta masihara kwenye kujifungua apo hakuna cha ziada hata akila kofi au ahatarishe maisha yake na mtoto kitu ambacho ikitokea hakuna atakae mtetea uyo muuguzi zaidi ya kumbebesha mzigo

Ivo tusiwalaumu sana mana pamoja na kula makofi wengi wanarud nyumbani na tabasamu zito la kupata mtoto hai mwenye afya nzur


Niishie hapo leo kuna vingi watu hawajui kuhusu suala la kutoa huduma japo mapungufu yapo pia
 
Issue kubwa nlioona ni uhaba wa watumishi hasa hospitali zinazohudumia wananchi wanyonye kwa ngazi ya wilayaa

Sikubali kabisa swala la kupiga wajawazito lakini situation ndo zinazosababisha wanakutana na hayo

Namfano haii nmeona mwenyewe kutoka hospital moja apa nchini ya wilaya

Wadi ya wazazi ina

#Antenatal kuna wagonjwa wanaitaji huduma
#Post natal kuna wagonjwa wanaitaji huduma
#Post operative kuna wagonjwa wanaitaji huduma
#kangaroo mother care kuna wagonjwa wanaitaji huduma

#Kubwa kabisa kuna labor unit wanakojifungua
Wapo wanaitaji huduma ya haraka


IYO WARD NA SEHEMU ZOTE IZO NLIZOTAJA ZINA WAUGUZI WAWILI TU IMAGINE

na ikitokea emergence operation anatoka muuguzi mmoja kuenda kuchukua mtoto na kufanya neonatal resuscitation ikihitajika kwaiyo anabaki mmoja

Uyo mmoja ndo atasimamia kote kule alafu inatokea mama analeta masihara kwenye kujifungua apo hakuna cha ziada hata akila kofi au ahatarishe maisha yake na mtoto kitu ambacho ikitokea hakuna atakae mtetea uyo muuguzi zaidi ya kumbebesha mzigo

Ivo tusiwalaumu sana mana pamoja na kula makofi wengi wanarud nyumbani na tabasamu zito la kupata mtoto hai mwenye afya nzur


Niishie hapo leo kuna vingi watu hawajui kuhusu suala la kutoa huduma japo mapungufu yapo pia
Hii ni kutatarisha usalama wa wagonjwa nacwafanyakazi. Vyama vya wafanyakazi vinatakiwa kukemea mambo kama haya.
 
Sasa mkeo akizembea alafu asisukume mtoto akafa mnaanza tena kulaumu ma nurse....huko wanapojifungulia wajawazito ni sehemu ngumu sana kufanya kazi...humsukumi mtoto unategemea uchekewe,mtoto akifariki katika mazingira hayo lawama kwa madaktari
Mbona Private hawapigi watu na watoto wanazaliwa vizuri tu? Unapewa maneno mazuri ya kutiwa moyo pamoja na mbinu za kukusaidia usiishiwe nguvu hadi unajifungua salama.
 
Hii ni kutatarisha usalama wa wagonjwa nacwafanyakazi. Vyama vya wafanyakazi vinatakiwa kukemea mambo kama haya.
Hakuna anaependa kufanya ivo na bodi husika nadhani zinafanya kazi tatizo lipo kwenye uhalisia sio kulitizama kwenye maandishi
 
...Tanzania bado sana!...kuna mwaka fulani nyuma kidogo Mama Mkwe alitaka wife akajifungulie kwao kwenye Wilaya fulani mashuhuri nchini...baada ya Wife kujifungua salama (nilivyodhani!) akanipa story kuwa eti siku ya kujifungua nesi alikuwa na fimbo kabisa ameziweka chini ya kitanda na akamuambia wife na wengine aliwaona wife kuwa wakimsumbua na kuchelewa chelewa aliyokuwa anawaagiza wakati wa kujifungua atamcharaza viboko hivyo...na wife alishuhudia kweli wenzake wawili wakicharazwa viboko na Mkunga huyo ati kwa sababu tu walikuwa 'hawasukumi' sawasawa kama mkunga alivyokuwa anawahimiza!!...jibu langu kwa wife likawa moja tu....Saa hizi ningekuwa Jela!!!
Heshima kwako muhenga wa JF
 
Na hakuna kazi asiyo na lawama....mama kajifungua salama...huenda mikwara ya uyo muuguzi ndo imesaidia apush mtoto....huenda bila iyo mikwara sahivi tungekuwa tunaongea mengine...unadhani huyo muuguzi kapenda kwenda na fimbo huko kwenye kazi yake...kutokana na experience yake kaona kumbe viboko vinasaidia ndo mana anavitumia..wakiongea kwa upendo mgonjwa usipoyafanyia kazi wanayomuelekeza afanyaje...aache afe muanze tena kulalamika humu...na unadhani hizo mbinu za kuongea kwa upole hawajawahi zitumia....hivyo viboko kwani vinamsaidia nani kati yeye or mjamzito....mimi ningekuwa muuguzi naongea na wewe vizuri kukuelekeza but nikiona nimekuelekeza kwa upendo huelewi somo na imefika hatua unahatarisha uhai wa mtoto na wewe mwenyewe hapo mboko lazima zitumike...tena fimbo kweli...but yote iyo ni kumsaidia mama mjamzito na kiumbe wote wawe salama
Hamna anayependa kufa, na kila mtu anajua ukishindwa kujifungua kinachofuata kama sio operation ni kifo. Na kupelekwa kwenye operation inategemea kama mtoto bado hajashuka chini na nyonga ikafunguka. Kila mtu anajua ukishindwa kujifungua ni either umpoteze mtoto, wewe mwenyewe ufe au wote. Sasa unafikiria kuna anayependa yamkute hayo? Unakuta mtu anajitahidi kadri ya uwezo wake lakini anashindwa hadi wengine wanazimiaga katika harakati za kujifungua.
 
Hilo swala la wabunge ndo roho inaniuma dunian hakuna. Mbunge kazi yake ni porojo tu. Gari wanapewa, nyumba, posho kibao, bima ya afya nzuri. Akipita barabarani au akiingia ofisi yoyote na v8 yake watu wanamsujudia. Ila daktari anafanya kazi zaidi ya masaa 18 kwa siku, hata kama wanalipwa extra duty na call pesa zenyewe hazifiki kwa wakati na haikidhi mahitaji. Afrika life is unfair. Kuna watu wanapiga kazi wengine wanapiga pesa.

Kuna mtu atakuambia wabunge ni watetezi wa uma, nchi hii vituko haviishi! Bado namtafuta sana aliyefanya maamuzi ya watumishi wa uma kulipwa hivi na wanasiasa kulipwa vile!
 
Nimeshangaa kuna afisa tabibu mtaani kwetu atafanya mtihani wa QT mwaka huu na kaajiriwa mwaka jana 2018 baada ya kumaliza chuo mwaka 2017, sasa sijui alijiunga chuo kwa vigezo gani maana kwa hesabu za haraka anatafuta cheti cha form 4

Huku mtaani watoto wanapigwa sindano na yeye ni majipu tu, Ukimu assess kwa changamoto kidogo tu au kuuliza ushauri ujue umetafuta ugomvi. Hawa ndo watoa huduma kwa jamii zetu unategemea nini!
 
Usione tu sekta ya afya bali hata ikulu inalo hitaji la kupanguliwa na hao waliopo wapelekwe tena darasani. Kama unaweza kukaa kimya kuhusu jambo la kukanusha tu nadhani hatujui tunalofanya au nafasi zetu hatuzijui
 
Watendaji wengi hawafuati miiko ya kitaaluma. Kuanzia lugha wanayotumia hata attitude.

Kati ya mgonjwa na mgonjwa daktari anatembelewa na rafiki yake wanaanza kusogoa wakati nje wagonjwa wako kwenye foleni wengine wametoka nyumbani saa 11 alfajiri bila kifungua kinywa.

Tulikwenda hospitali na ndugu yangu, wakati wa kupima BP nesi alipokea simu iliyokuwa mfukoni mwake. Aliongea kwanza baada ya maongezi pasipo kutuomba radhi alirekodi vipimo. Nilimuomba arudie zoezi ili tupate uhakika aliniambia nisumfundishe kazi.

Hizo lugha chafu wanazopewa wamama wajawazito wala hazisemeki. Udhalilishaji umekuwa sehemu ya kazi.

Bodi za kitaaluma angalieni jinsi mtakavyo boresha nidhamu ya utendaji kazi. Huduma za afya ni moja ya mahitaji makuu ya wananchi.
Kwa upande wangu kuna kada mbili imetokea tu huwa naona hawako friendly kabisa,ya kwanza ni Polisi na inayofuata ni Manesi hasa wakike.
 
Mbona Private hawapigi watu na watoto wanazaliwa vizuri tu? Unapewa maneno mazuri ya kutiwa moyo pamoja na mbinu za kukusaidia usiishiwe nguvu hadi unajifungua salama.
Huko private ratio ya wauguzi na wagonjwa iko vipi?
Unakuta wauguzi wawili wanamzalisha mgonjwa mmoja


Lakini huku serikali wauguzi wawili, wagonjwa 15 leba unaanzaje kuanza kubembeleza huku wengine nao wanasubiri kujifungua, wengine njia ya kawaida imeshindikana inabidi aandaliwe aende operation na wauguzi ni hao hao wawili
 
Huko private ratio ya wauguzi na wagonjwa iko vipi?
Unakuta wauguzi wawili wanamzalisha mgonjwa mmoja


Lakini huku serikali wauguzi wawili, wagonjwa 15 leba unaanzaje kuanza kubembeleza huku wengine nao wanasubiri kujifungua, wengine njia ya kawaida imeshindikana inabidi aandaliwe aende operation na wauguzi ni hao hao wawili
Tuishtaki wizara ya afya kwa kuhatarisha maisha ya raia. Upungufu wa wafanyakazi ni mkubwa mno. Licha ya upungufu wengi hawana nidhamu ya kazi.
 
Umemaliza kila kitu. Issue ya customer care Tanzania ni majanga. Tunahitaji kuweka somo hili mashuleni kufundisha customer care. Kwa kweli ni shida mno
Usilaumu sector ya afya tu customer care hapa Tz ni 0% neenda kila sector private na serikalini, unaweza ukafikiri kwamba wanalazimishwa kazi au hawalipwi mishahara kuna haja ya orientation seminar kwa watumishi wote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taja hiyo wilaya aise. Huu ni unyama
...Tanzania bado sana!...kuna mwaka fulani nyuma kidogo Mama Mkwe alitaka wife akajifungulie kwao kwenye Wilaya fulani mashuhuri nchini...baada ya Wife kujifungua salama (nilivyodhani!) akanipa story kuwa eti siku ya kujifungua nesi alikuwa na fimbo kabisa ameziweka chini ya kitanda na akamuambia wife na wengine aliwaona wife kuwa wakimsumbua na kuchelewa chelewa aliyokuwa anawaagiza wakati wa kujifungua atamcharaza viboko hivyo...na wife alishuhudia kweli wenzake wawili wakicharazwa viboko na Mkunga huyo ati kwa sababu tu walikuwa 'hawasukumi' sawasawa kama mkunga alivyokuwa anawahimiza!!...jibu langu kwa wife likawa moja tu....Saa hizi ningekuwa Jela!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watendaji wengi hawafuati miiko ya kitaaluma. Kuanzia lugha wanayotumia hata attitude.

Kati ya mgonjwa na mgonjwa daktari anatembelewa na rafiki yake wanaanza kusogoa wakati nje wagonjwa wako kwenye foleni wengine wametoka nyumbani saa 11 alfajiri bila kifungua kinywa.

Tulikwenda hospitali na ndugu yangu, wakati wa kupima BP nesi alipokea simu iliyokuwa mfukoni mwake. Aliongea kwanza baada ya maongezi pasipo kutuomba radhi alirekodi vipimo. Nilimuomba arudie zoezi ili tupate uhakika aliniambia nisumfundishe kazi.

Hizo lugha chafu wanazopewa wamama wajawazito wala hazisemeki. Udhalilishaji umekuwa sehemu ya kazi.

Bodi za kitaaluma angalieni jinsi mtakavyo boresha nidhamu ya utendaji kazi. Huduma za afya ni moja ya mahitaji makuu ya wananchi.
Bongo kulalamika kwa vitu kama hivi hakusaidii sana. Solution ni moja tu: TAFUTA PESA.
Yaani tafuta pesa kiasi kwamba unachagua wewe utibiwe hospitali ipi, uonwe na daktari gani na upewe huduma na muuguzi gani.
Mimi hiyo solution (ya kutafuta pesa) ndo naifanyia kazi sasa hivi. Mwanzoni nilikua nalalama sana kama wewe mtoa mada, nilipogundua na differentiate constant, nika resort kwenye hiyo solution.Tatizo Watanzania wengi wetu wameshakubali "unyonge" na kazi ya mnyonge kubwa ni kulalama tu,na kuiomba msaada serikali.
Maana hizo hospitali za government kwanza ukianza kuelezwa matatizo yao,kama una roho nyepesi unaweza kuishia kutoa machozi.
Bottom Line:TAFUTA PESA
Alamsiki.
Sky Eclat
 
Back
Top Bottom