Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,315
- 8,214
Barua ya Wazi kwa Waziri wa Elimu kuhusu utendaji wa NACTE
Kwako waziri wa elimu,
Utendaji wa NACTE haulizishi kabisa.
Watoto wetu wanafuatilia AVN ili waweze kuapply vyuo vikuu hawapewi.
Kama watendaji wa NACTE wanakuwa wazembe kiasi hicho kwanini msibadirishe na kuweka watu wengine wanaoweza kufanya kazi hiyo kwa uharaka.
Kwanini wasiwaige NECTA mbona wanafanya kazi kwa weledi na uharaka wa hali ya juu.
Tafadhari Mh. Waziri tunaomba washughurikie hawa NACTE watoto wetu wanahitaji hizo AVN ili wajiunge na vyuo vikuu na deadline tayari zimeshakaribia.
Kwako waziri wa elimu,
Utendaji wa NACTE haulizishi kabisa.
Watoto wetu wanafuatilia AVN ili waweze kuapply vyuo vikuu hawapewi.
Kama watendaji wa NACTE wanakuwa wazembe kiasi hicho kwanini msibadirishe na kuweka watu wengine wanaoweza kufanya kazi hiyo kwa uharaka.
Kwanini wasiwaige NECTA mbona wanafanya kazi kwa weledi na uharaka wa hali ya juu.
Tafadhari Mh. Waziri tunaomba washughurikie hawa NACTE watoto wetu wanahitaji hizo AVN ili wajiunge na vyuo vikuu na deadline tayari zimeshakaribia.