Utendaji Mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma; Rais Samia tupia jicho lako hapo

CMA kuwa inferior kwa maamuzi ya Rais kwenye masuala ya kazi ni assumption tu mkuu, labda inahold water kwa kuwa tupo katika nchi isiyoheshimu utawala wa sheria. Na ikiwa dhana ya seniority ni hiyo, basi hata CAT bado hawawezi kuwa superior kwa maamuzi ya Rais kama vile ambavyo umesema Majaji wa HC wanaweza kuzongwa na ukada. Hakuna anayeweza kuwa juu ya Rais. Kwa lugha rahisi, hapa tutakuwa tunazungumzia uwezo wa watu binafsi (personal) na sio uwezo wa taasisi uliowekwa kisheria. Kisheria, mfano Baraza la Kata (japo ndio ngazi ya chini kabisa kimahakama) kama lingekuwa limepewa uwezo kisheria wa kubariki au kubatilisha maamuzi ya Kamishna au Rais kwenye masuala ya kurevoke haki za ardhi, lingefanya jambo hilo kwa uhuru tu sababu ni mamlaka liliyonayo kisheria, na nchi inaendeshwa kisheria.
Ipo mifano hai ya HC au CAT ku challenge maamuzi ya Rais na inachangiwa na nafasi yao na sijawahi ona CMA, suala la individual performance ya majaj wasiokubali kuzongwa na ukada pia ni nafuu kwa majaji kuliko arbitrator and meditator

Lkn all in all bado sioni nafasi ya mediator and arbitrator Ku challenge uamuzi wa Rais hata kama ni uamuzi wa masula ya kinidhamu and not administratively
 
Ipo mifano hai ya HC au CAT ku challenge maamuzi ya Rais na inachangiwa na nafasi yao na sijawahi ona CMA, suala la individual performance ya majaj wasiokubali kuzongwa na ukada pia ni nafuu kwa majaji kuliko arbitrator and meditator

Lkn all in all bado sioni nafasi ya mediator and arbitrator Ku challenge uamuzi wa Rais hata kama ni uamuzi wa masula ya kinidhamu and not administratively
Kuna kesi itasikilizwa katika kikao kijacho cha CAT Kigoma, ni kesi ya TANZANIA POSTS CORPORATION Vs JEREMIAH MWANDI , Civil Appeal No. 474 of 2020 hatua za awali ipo hapa Tanzania Posts Corporation vs Jeremiah Mwandi (Civil Appeal No.474 of 2020) [2021] TZCA 311; (16 July 2021) | Tanzania Legal Information Institute nafikiri itatoa tafsiri sahihi juu ya tafsiri na matumizi ya kifungu cha 32A cha Sheria ya Watumishi wa Umma na pia itatoa maelekezo ya nini cha kufanya baada ya kuexhaust local remedies; kwamba urudi CMA au kwenda High Court.
 
Kuna kesi itasikilizwa katika kikao kijacho cha CAT Kigoma, ni kesi ya TANZANIA POSTS CORPORATION Vs JEREMIAH MWANDI , Civil Appeal No. 474 of 2020 hatua za awali ipo hapa Tanzania Posts Corporation vs Jeremiah Mwandi (Civil Appeal No.474 of 2020) [2021] TZCA 311; (16 July 2021) | Tanzania Legal Information Institute nafikiri itatoa tafsiri sahihi juu ya tafsiri na matumizi ya kifungu cha 32A cha Sheria ya Watumishi wa Umma na pia itatoa maelekezo ya nini cha kufanya baada ya kuexhaust local remedies; kwamba urudi CMA au kwenda High Court.
Itakuwa vizuri tukipata huo mwongozi, bravo
 
Mkuu kinachotakiwa ni kufumua hii tume imekuwa na tabia ya kushirikiana na waajiri kukandamiza haki za wakata rufaa
Ukienda CMA unaona mwajiri anakomaa uende tume. Yaani ukalalamike TUME hata kama jambo sio la Rufaa, nini siri ya waajiri kung'ang'ania TUME? Ni ushirikiano kabambe uliopo kati yao
 
Ukienda CMA unaona mwajiri anakomaa uende tume. Yaani ukalalamike TUME hata kama jambo sio la Rufaa, nini siri ya waajiri kung'ang'ania TUME? Ni ushirikiano kabambe uliopo kati yao
Tume ni chaka la waajiri na wale MaHR uchwara wa serikalini
 
ndo kinachowapa jeuri? na hili ndo tatzo la watumish wengi, wanabase kwny kukariri kanuni lakini wisdom ni ya chini kbs.
Kazi za serikali zinafanywa kwa Sheria, Kanuni, Moingozo, Nyaraka na Maelekezo sio WISDOM

Hakuna mtu anapenda mwingine apate shida ila imagine Taasisi zote za Umma kuhudumiwa na Taasisi moja
 
Kazi za serikali zinafanywa kwa Sheria, Kanuni, Moingozo, Nyaraka na Maelekezo sio WISDOM

Hakuna mtu anapenda mwingine apate shida ila imagine Taasisi zote za Umma kuhudumiwa na Taasisi moja
Flexibility. Mama alizungumza pia hili. Kanunii kanuni, hzo ni mwongozo, unawezakuwa flexible bila kutoka nje ya kanuni.
 
Kazi za serikali zinafanywa kwa Sheria, Kanuni, Moingozo, Nyaraka na Maelekezo sio WISDOM

Hakuna mtu anapenda mwingine apate shida ila imagine Taasisi zote za Umma kuhudumiwa na Taasisi moja
Wewe kutwa unashinda kwenye viwebsite ucharwa kutafuta vihabari vya Russia halafu unakuja hapa unasema pale tume mpo wachache wakati hufanyi kazi kushughulikia hizo rufaa za wafanyakazi walioumizwa na mamlaka za nidhamu
 
Wewe kutwa unashinda kwenye viwebsite ucharwa kutafuta vihabari vya Russia halafu unakuja hapa unasema pale tume mpo wachache wakati hufanyi kazi kushughulikia hizo rufaa za wafanyakazi walioumizwa na mamlaka za nidhamu
Karibu Moscow mkuu acha makasiriko.
Nlipita pale miaka hiyoo saivi nipo kwingine kabisa
😅😅
 
Kumekuwa na malalamiko mengi sana kutoka kwa wananchi kuhusu utendaji mbovu wa Tume ya Utumishi wa Umma ikiongozwa na ndugu Muhoji aliyezungukwa na wasaidizi vilaza wavivu kutumia akili katika kushughulikia rufaa za watumishi wa umma walioonewa na waajiri enzi zile!

Kumekuwa na biasness kubwa sana katika kushughulikia rufaa za watumishi wa umma pale Tume.

1. Tume imekuwa ikishirikiana na waajiri katika kuhujumu haki za watumishi.

2. Rufaa zimekuwa zinakaa kwa muda mrefu bila kuzitolea maamuzi. Ningefurahi sana kujua kama kuna kipengele chochote kinachoibana Tume kuhusu muda.

3. Maafisa wa Tume hawako makini katika uchambuzi wa rufaa za watumishi.

4. Maafisa wa Tume wamekosa customer service or care kwenye kazi zao na hivyo kupelekea wwtumishi wanaokwenda kuulizia rufaa kuwafanya kama maadui, they are so defensive and protective.

5. Wamekuwa wakipewa rushwa na waajiri ili watumishi wakandamizwe ktk kudai haki zao kwasababu waajiri wengi wamekuwa wakiwabambikkiza makosa watumishi wao.

Hivyo basi, tunaomba Mh. Rais Samia tupia jicho lako kwenye hiyo Tume, wanafanya kazi kwa mazoea na kuminya haki za watumishi.
Jambo hili lipo na mtoa mada kasema sahihi kabisa, haki imekuwa inatolewa kwa kufamiana na kama haufamiani na mtu yoyote ayefanya kazi tume ya utumishi kiukweli yawezekana ukafanyiwa uonevu usio wakawaida.
 
Back
Top Bottom