CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Hebu fikiria nchi ambayo elimu ni haki ya kila mwenye kuihitaji, bila kujali ukomo anaoutaka na bila kujali kiuchumi amekaaje!
Hebu fikiria nchi ambayo suala la afya bora ni haki ya msingi ya kila Mwananchi bila kujali uwezo wake wa kiuchumi!
Hebu fikiria nchi ambayo kwa mara ya kwanza kutakuwa na katiba inayolinda tunu zote za utawala bora na ambayo inajilinda isivunjwe na watawala wenye nia mbaya na maslahi ya umma!
Hebu fikiria nchi ambayo HAKI IMETAMALAKI na Wananchi hawana hofu kabisa kuwa haki zao zitagandamizwa kwa sababu ya NASABA ZAO, JINSIA ZAO, MAKABILA YAO, DINI ZAO, AU UWEZO WAO WA KIUCHUMI!
Hebu fikiria nchi ambayo ili kuondokana na UDUMAVU (Hivi sasa karibia 50% ya Watanzania wanakabiliwa na aina moja ama nyingine ya udumavu) kina mama wote wajawazito na wale wanaonyoshesha watapewa unga wa uji uliomarishwa kwa viini lishe muhimu!
Hebu fikiria......
Kwa kweli orodha ni ndefu. Kwa nini uhangaike kukimbilia ULAYA au MAREKANI, wakati ULAYA, MAREKANI, JAPANI, KANADA, nakadhalika zinawezekana hapa hapa?!
Haya BEGA KWA BEGA, MKONO KWA MKONO na Chama cha Wananchi - CUF.
Mbona tutafika tu!!
Hebu fikiria nchi ambayo suala la afya bora ni haki ya msingi ya kila Mwananchi bila kujali uwezo wake wa kiuchumi!
Hebu fikiria nchi ambayo kwa mara ya kwanza kutakuwa na katiba inayolinda tunu zote za utawala bora na ambayo inajilinda isivunjwe na watawala wenye nia mbaya na maslahi ya umma!
Hebu fikiria nchi ambayo HAKI IMETAMALAKI na Wananchi hawana hofu kabisa kuwa haki zao zitagandamizwa kwa sababu ya NASABA ZAO, JINSIA ZAO, MAKABILA YAO, DINI ZAO, AU UWEZO WAO WA KIUCHUMI!
Hebu fikiria nchi ambayo ili kuondokana na UDUMAVU (Hivi sasa karibia 50% ya Watanzania wanakabiliwa na aina moja ama nyingine ya udumavu) kina mama wote wajawazito na wale wanaonyoshesha watapewa unga wa uji uliomarishwa kwa viini lishe muhimu!
Hebu fikiria......
Kwa kweli orodha ni ndefu. Kwa nini uhangaike kukimbilia ULAYA au MAREKANI, wakati ULAYA, MAREKANI, JAPANI, KANADA, nakadhalika zinawezekana hapa hapa?!
Haya BEGA KWA BEGA, MKONO KWA MKONO na Chama cha Wananchi - CUF.
Mbona tutafika tu!!