Mkunga anayemleta binadamu duniani analipwa kidogo sana ukilinganisha na kazi yake ya kuwasaidia wazazi.Hawa G4S tz wanawalipa pesa ndogo sana walinzi wao. Nashangaa unawezaje kumlipa ela ndogo kiasi hicho mtu anayesafirisha mamilion ya pesa
Msiupende Sana ukabila,bagosha!Wachaga wanachafua image ya nchi kwa mara nyingine tena
Tukio Botswana mshahara Tanzania! JF of Great Thinkers?Naongelea TZ na sasa ndo worse kabsa kuliko hata miaka ya nyuma
Nimechomekea, kuna tatizo kwani? Na kilichotokea Botswana kishatokea kwenye G4S TZ zaidi ya mara 5Tukio Botswana mshahara Tanzania! JF of Great Thinkers?
MDUDU KAINGIAJE NDANI YA KOKWA LA EMBE.
Dereva wa Botswana anahusika vipi na mshahara wa Tanzania!
Tatizo lipo la upotoshaji, G4S Botswana na Tanzania hazina uhusiano na wala si majirani.Nimechomekea, kuna tatizo kwani? Na kilichotokea Botswana kishatokea kwenye G4S TZ zaidi ya mara 5
Huku south Africa nyimbo za kina diamond.lady jd harmonize zinapigwa at tu .kuanzia bar mpaka kwenye mashareheNimekuelewa mkuu ila wezetu huku hutawakuta wanatangaza kitu kisicho chao hata bar huwezi kuta wimbo wa Ali Kiba. Nimekusoma mkuu sorry kama nitakuwa nimekukwaza
Wewe kubali tu umetoa boko. Unarekebishwa kuwa mpole.Nimechomekea, kuna tatizo kwani? Na kilichotokea Botswana kishatokea kwenye G4S TZ zaidi ya mara 5
Kwan mmiliki ni tofauti?Tatizo lipo la upotoshaji, G4S Botswana na Tanzania hazina uhusiano na wala si majirani.
Ni haki yako kuona hivyoWewe kubali tu umetoa boko. Unarekebishwa kuwa mpole.
Nimeipenda hii comment!Mi nimevaa t shirt imeandkwa CALIFORNIA...NA NIKO NANYUMBU HUKU..
Still ni swali la kijinga.Naamini umeelewa kichwa cha habari kuwa Je ni Mtanzania?
Sitaweza kukutukana mkuu sijafunzwa hivyo na sijui malezi yakoStill ni swali la kijinga.