Elections 2010 Utawala wa sheria chini ya chadema ni ndoto!!!!!!!!!!!!!!!

sijawahi kuona chama fisadi kama hiki!!! yaani kumbe kelele zote hizi na wao pia ni mafisadi!!! sasa kupeana uongozi kiundugu hivyo kweli tutafika? kumbe ndio maana CHADEMA waliamua kuficha kutangaza majina ya wabunge wao wa kuteuliwa sababu kuna watoto na vimada wa vigogo!!!
 
Mseme msemavyo ninyi watoto vimada wa vigogo mwaka huu mpaka kieleweke. Bora ya Chadema kuliko chama cha majambazi. Mbona mnalialia mmeshakula vya kutosha waachieni na wengine wafaidi mali si yetu wote kwani ya kwenu peke yenu?? CCM wamefanya nini kizuri kama si kuwanyang'anya mali watanzania na kujilimbikizia wao na watu kama ninyi. Mpaka kieleweke acheni kutudanganya bana.
 
Poleni sana kwa juhudi mfanyavyo kujinusuru dakika hizi za mwisho lakini naona kuwa mnapoteza nguvu zenu bure. Hakuna kitu kitakachozungumzwa sasa hivi dhidi ya Chadema ambacho kitazuia tufani ambayo imeanza dhidi ya ccm. Zaidi ya hapo, maovu ambayo ccm imewafanyia Watanzania katika miaka hii mitano ya raisi Kikwete ni makubwa mno na wananchi tayari wameelewa kuwa hali yao duni inatokana na ufisadi uliokithiri wa ccm. Hivyo basi, chochote ambacho kitachimbwa au kutengenezwa dhidi ya Chadema ni kama mvua kumyeshea bata. ccm ijiandae tu kuachia ngazi na Watanzania wajiandae kupokea uongozi ambao unawajali
 
mseme msemavyo ninyi watoto vimada wa vigogo mwaka huu mpaka kieleweke. Bora ya chadema kuliko chama cha majambazi. Mbona mnalialia mmeshakula vya kutosha waachieni na wengine wafaidi mali si yetu wote kwani ya kwenu peke yenu?? Ccm wamefanya nini kizuri kama si kuwanyang'anya mali watanzania na kujilimbikizia wao na watu kama ninyi. Mpaka kieleweke acheni kutudanganya bana.

yaani tuwaachie na nyinyi muje kuiba na kupora mali zetu sio?
Nyambafu!!!! Ikulu mutaisikia bombani!!!
 
Pata ujumbe kutoka kwa Munishi: Ikatae CCM
 
Last edited by a moderator:
ukiona mtu anashabikia ccm basi ujue yupo kwenye kundi mojawapo kati ya haya:
  1. ni fisadi wa kutupwa; asiye na hata chembe ya huruma kwa watanzania masikini wanaoteseka na kufa usiku na mchana kwa kukosa huduma mhimu kama binadamu. Mwogopeni sana huyu mtu, na anapaswa kuchukiwa mno kwa kuwa hawa ndio chanzo cha umasikini mkubwa unaoikabili nchi.
  2. ni zezeta, ama taahira au mjinga ambaye hakuwahi kuona mlango wa darasa au ni masikini wa kutupwa, limbukeni au mganga njaa; huyu muoneeni huruma na msaidieni kwa kumuelimisha kwamba umasikini wake unaweza kuondoka kwa kufanya mabadiliko katika serikali
kwa hiyo kama ukiona yeyote anashabikia ccm, basi muweke tu kwenye makundi hayo mawili. Bahati mbaya ilioje, hawa watu ni wengi kweli hasa kwenye kundi namba mbili. Yupo tayari kupoteza uhai wa mwenzie ili yeye apate makombo ya kile wanachodondosha mafisadi.
Ilikuwa ni heri watu hawa wasingelizaliwa kabisa!

hivi wewe ccm imekuwa jinamizi kwako? Hapa nani kaitaja ccm? Mbona kila inapozungumzwa uovu wa chadema unakimbilia kuitaja ccm? Hapa tunajadili chadema na ahadi yao ya kufuata utawala wa sheria wewe unakimbilia kuwapa lebel ya uccm watu usio wajua!!

Yaani mumeingiwa na uwoga fulani hivi labda ni ya kushindwa kwa kishindo!!!!
 
MGOMBEA URAIS WA CHADEMA W.SLAA ANATAMBA KUFUATA KATIBA NA UTAWALA WA SHERIA!! LAKINI WACHAMBUZI WA SIASA NA SHERIA WANAONA HIYO NI DANGANYA TOTO NA NI KAULI ZA KITAPELI TU!!!

GONGA HAPA UPATE UFAFANUZI ZAIDI: HabariLeo | Dk.Magufuli: Dk. Slaa mzushi

SOMA UNAFIKI WA CHADEMA HAPA: HabariLeo | Siri ya wabunge viti maalumu Chadema yavuja

SASA CHADEMA MUNATAKA KUTUDANGANYA WADANGANYIKA TUWAPE KURA ZETU MUTUACHE KATIKA MATAA?

Haya nilishayasema, huyu mtu ni hatari sana muangalie macho yake anapozungumza. ni DIKITETA HATARI SANA.

Jamani tufanye lolote lile liwezekanalo ili mbio zake ziishie KARATU TU na uwe mwisho wake katka siasa na akamtumikie Mungu katika profesional yake ya awali "Upadre"
 
Chagua Chadema Mafisadi wafungwe jela. Chagua Chadema watoto wetu wasome bure. CCM Chama cha Majambazi na Majangiri!!
 
Haya nilishayasema, huyu mtu ni hatari sana muangalie macho yake anapozungumza. ni DIKITETA HATARI SANA.

Jamani tufanye lolote lile liwezekanalo ili mbio zake ziishie KARATU TU na uwe mwisho wake katka siasa na akamtumikie Mungu katika profesional yake ya awali "Upadre"
Hahahaha mnamwona ni tishio kwa sababu amesema atashughulika na mafisadi eee!!
bahati mbaya ni kwammba viongozi wengi wa ccm ni mafisi na wanahusika big time kwenye kufisadi rasilimali za nchi. Sasa subirini hiyo NGALAMBE yake ninyi majambazi.

Zawadi ndugu yangu, rudi tena chadema kisha ujitoe ghafla siku ya kupiga kura halafu uandike mpaka kwenye magazeti kwamba zawadi ngoda kajitoa chadema.
 
mgombea urais wa chadema w.slaa anatamba kufuata katiba na utawala wa sheria!! Lakini wachambuzi wa siasa na sheria wanaona hiyo ni danganya toto na ni kauli za kitapeli tu!!!

Gonga hapa upate ufafanuzi zaidi: habarileo | dk.magufuli: Dk. Slaa mzushi

soma unafiki wa chadema hapa: habarileo | siri ya wabunge viti maalumu chadema yavuja

sasa chadema munataka kutudanganya wadanganyika tuwape kura zetu mutuache katika mataa?

chanzo chako cha Habari Leo hakina credibility kwa hiyo wewe na wenzio humna hiyo credibility. Ni wazi michango yako haina changamoto yo yote zaidi ya gossip kama hilo gazeti la Habari leo
 
chanzo chako cha Habari Leo hakina credibility kwa hiyo wewe na wenzio humna hiyo credibility. Ni wazi michango yako haina changamoto yo yote zaidi ya gossip kama hilo gazeti la Habari leo[

TUONDOLEE PUMBA ZAKO HAPA!!!!!
 
yaani tuwaachie na nyinyi muje kuiba na kupora mali zetu sio?
Nyambafu!!!! Ikulu mutaisikia bombani!!!

Kumbe kuna wenye hati miliki ya kuiba na kupora mali ya taifa. Kama ndiyo ugomvi mbona umeisha uamuzi 31 10 10. Halafu jazba unayoinyesha inaelekea hali mbaya tuliza ball
 
MGOMBEA URAIS WA CHADEMA W.SLAA ANATAMBA KUFUATA KATIBA NA UTAWALA WA SHERIA!! LAKINI WACHAMBUZI WA SIASA NA SHERIA WANAONA HIYO NI DANGANYA TOTO NA NI KAULI ZA KITAPELI TU!!!

GONGA HAPA UPATE UFAFANUZI ZAIDI: HabariLeo | Dk.Magufuli: Dk. Slaa mzushi

SOMA UNAFIKI WA CHADEMA HAPA: HabariLeo | Siri ya wabunge viti maalumu Chadema yavuja

SASA CHADEMA MUNATAKA KUTUDANGANYA WADANGANYIKA TUWAPE KURA ZETU MUTUACHE KATIKA MATAA?

Source: Habari leo. People will ignore you. We wait and see.
 
Mseme msemavyo ninyi watoto vimada wa vigogo mwaka huu mpaka kieleweke. Bora ya Chadema kuliko chama cha majambazi. Mbona mnalialia mmeshakula vya kutosha waachieni na wengine wafaidi mali si yetu wote kwani ya kwenu peke yenu?? CCM wamefanya nini kizuri kama si kuwanyang'anya mali watanzania na kujilimbikizia wao na watu kama ninyi. Mpaka kieleweke acheni kutudanganya bana.

Hiyo bold sijaipenda. Kuwa kiongozi si kufaidi ndugu yangu ni kuwatumikia wananchi. Jamani hatutafanikiwa kama hii ndo mitazamo yetu ya kuwa viongozi.
 
Back
Top Bottom