Utawala wa Rais Samia umetia aibu kubwa sana,usipewe msamaha

Msukule wa Jiwe huyo ambae kila siku yeye na misukule wenzake wanahangaika kuonesha Jiwe alikuwa bora!!! Yaani wanasahau kwamba Jiwe mwenyewe alikuwa ndo mvunjaji mkubwa wa sheria za nchi...

Hakika hakuna jinamizi kubwa nchi hii kama tawala za CCM!
Sasa hapa umetetea Samia na kumponda jiwe au umefanya kitu gani?
 
nilipoona tu hawajataja sababu,nikajua itakuwa sababu ya kipuuzi
Mimi sifuatilii huu mpira wa kibongo lakini naona Yanga wana hoja na Simba wameonyesha ujinga wa hali ya juu. Mechi inayohusisha watu wengi na matayarisho mengi namna hii haiwezi kuahirishwa kwa ghafla namna hii bila sababu za maana. Kama sababu zilikuwa ni hizo za uzinduzi wa kitabu basi bado tuko kwenye mfumo wa kujima wa enzi za mawe. Hii inaonyesha viongozi wetu walivyo wabinafsi.
 
Kubadilisha muda wa mechi. Timu kujileta uwanjani na kujiondokea. Kuhairishwa kwa mechi kubwa kwa dharura ni matokeo ya dharau za wazi kwa mashabiki!
Kama zilivyo hizo kanuni... Utu na thamani ya mashabiki na watazamaji lazima vipewe kipaumbele.
Ningeweza kusikilizwa na kila Mtanzania ningeshauri watazamaji wote wagomee mechi mfululizo hadi msimu huu wa ligi uishe!!
TFF walikosea. Lakini kuleta timu na kuondoka huku watazamaji wakiwemo uwanjani ni kejeli na dharau kubwa!
Football is for fans! Kanuni ni za viongozi!!
 
Mpaka mwisho wa dunia hakuna rais atakuja kumshinda JPM kwa ubovu.
Yule dikteta uchwara ni rais mbovu kuwahi kutokea hapa Nchini.
Shida ya huyu mama, watendaji wake wote wanamchukulia poa, kila anacho order hakitekelezwi, chukulia mfano wa vyombo vya habari, kuachiliwa kwa wafungwa wa kisiasa, Upelelez BOT nk ..hakuna anacho order kinachofanyiwa kazi kwa wakati, JPM alikuwa akitamka tu watu wanatekeleza fasta tena huku wanatetemeka! Huyu mama hana influence kwenye wizara na taasisi za serikali, watendaji wanamdharau.
 
Shida ya huyu mama, watendaji wake wote wanamchukulia poa, kila anacho order hakitekelezwi, chukulia mfano wa vyombo vya habari, kuachiliwa kwa wafungwa wa kisiasa, Upelelez BOT nk ..hakuna anacho order kinachofanyiwa kazi kwa wakati, JPM alikuwa akitamka tu watu wanatekeleza fasta tena huku wanatetemeka! Huyu mama hana influence kwenye wizara na taasisi za serikali, watendaji wanamdharau.
Mama kachemka mapema sn kuliko hata dikteta
 
TFF ya msomali imeoza sn
TFF hii ni mataputapu, hakuna viongozi pale, ni wachumia tumbo, waamuz hawalipwi, wadhamin wanatoa pesa za washindi wa ligi na makombe mbalimbali, wanakula tena bila aibu kwa visingizio vya kuwadai, ratiba ya ligi one of the worst in the world of football, haiwezekan timu 2 hazijakutana mpaka sasahivi ligi ipo ukingon, mfano Namungo vs Simba, TFF hii imefungia watu wote wanaoikosoa, tena wamewapoteza kabisa kwenye soka!
 
TFF hii ni mataputapu, hakuna viongozi pale, ni wachumia tumbo, waamuz hawalipwi, wadhamin wanatoa pesa za washindi wa ligi na makombe mbalimbali, wanakula tena bila aibu kwa visingizio vya kuwadai, ratiba ya ligi one of the worst in the wold of football, haiwezekan timu 2 hazijakutana mpaka sasahivi ligi ipo ukingon, mfano Namungo vs Simba, TFF hii imefungia watu wote wanaoikosoa, tena wamewapoteza kabisa kwenye soka!
Yule msomali ni mshenzi sn, amegeuza TFF kuwa mali yake binafsi
 
Yule msomali ni mshenzi sn, amegeuza TFF kuwa mali yake binafsi
Wacha kutafuta soft spot aliyepeleka mechi mbele sio TFF ni Wizara. Halafu kwanini iwe nongwa kwa mechi ya jana tu.Mechi za Azam, Biashara na Gwambina dhidi ya Yanga zilipelekwa mbele. Mechi za Simba dhidi ya Mtibwa na Dodoma Jiji pia zilipelekwa mbele tena sio kwa kabla ya masaa 24 kama kanuni zinaonesha.Kwani kanuni zipo kwa Yanga ikicheza na Simba tu na vice versa.Wacheni kufuata mkumbo. Wa kulaumiwa anajulikana kwa mechi ya jana.
 
Wacha kutafuta soft spot aliyepeleka mechi mbele sio TFF ni Wizara. Halafu kwanini iwe nongwa kwa mechi ya jana tu.Mechi za Azam, Biashara na Gwambina dhidi ya Yanga zilipelekwa mbele. Mechi za Simba dhidi ya Mtibwa na Dodoma Jiji pia zilipelekwa mbele tena sio kwa kabla ya masaa 24 kama kanuni zinaonesha.Kwani kanuni zipo kwa Yanga ikicheza na Simba tu na vice versa.Wacheni kufuata mkumbo. Wa kulaumiwa anajulikana kwa mechi ya jana.
Mpuuzi wewe kwahiyo tuwaache waendelee kuvunja sheria na kanuni walizotunga wao wenyewe? heko kwa Yanga
 
KITENDO cha kuahirishwa kwa pambano la Simba na Yanga lililokuwa lichezwe jana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, kumewafanya wadau wa soka kucharuka na kudai ni aibu kubwa kwa soka la Tanzania, kwa mechi kuahirishwa kienyeji kwa sababu za kisiasa, huku wengine wakisema kuna kitu nyuma ya kilichotokea.

Wadau mbalimbali wakiwamo wachezaji wa zamani, makocha sambamba na mastaa wamelizungumzia tukio hilo wakisema linaoonyesha ndani ya TFF na Bodi ya Ligi (TPLB) kuna mambo yanayohitaji kuondolewa ili soka lisonge mbele.

Mchezaji wa zamani wa Simba na Taifa Stars, George Masatu alisema: “Yanga wamefuata taratibu za ligi zinavyoelekeza, muda ulikuwa saa 11 mechi ianze, wamefika na wamefanya ‘warm-up’ na kusubiri dakika zinazotakiwa.

“Wametoka baada ya kumaliza taratibu za uwanjani na kwenda vyumbani, wapo sahihi maana sababu ya msingi haijawekwa wazi, uamuzi ama kama kuna adhabu kwa Yanga kuondoka uwanjani itajulikana baadaye.

“Ni aibu kubwa sana kwa wasimamizi wa soka nchini kutozingatia kanuni na sheria za ligi zinavyoelekeza, maana zipo wazi kwamba kama kuna mabadiliko yoyote yafanyike kabla ya saa 24 za mechi, kwanza ni lazima mabadiliko hayo yatolewe kwa maandishi sio kupigiana simu.”

Kocha wa Ruvu Shooting, Boniface Mkwasa amesikitishwa na wasimamizi wa ligi kutofuata kanuni zinavyoelekeza na kubadilisha ratiba kwa namna wanavyotaka.

ADVERTISEMENT

“Kubadilisha muda wa mechi ghafla kama hakuna sababu za msingi sio jambo linaloleta afya kwenye mpira, kwani hata kwenye timu yangu iliwahi kunitokea, huwa inaumiza sana, kiukweli hawazingatii wala kujali kanuni zinasemaje.

“Yanga wameingia uwanjani kwa mujibu wa kanuni inavyoelekeza kuwa timu ifike saa 1.30 kabla ya mechi kuanza, Bodi ya Ligi na TFF walikuwa na muda wa kufanya mabadiliko jana (juzi) kama kuna jambo la msingi lilikuwepo na sio kutoa taarifa muda mfupi kabla ya mechi kuanza.

“Ikumbukwe kwamba mashabiki waliingia uwanjani mapema sana, wengine wakiwa na watoto wadogo, kuna suala la kufuturu hilo wanaliangalia vipi, watu wameingia hasara kwa kulipa viingilio, ni aibu sana,” alisema Mkwasa.

“Wamesema kuwa wamepokea taarifa kutoka serikalini, je serikali inafanya mambo yake ghafla namna hiyo, nadhani nao wana muda ambapo wangetoa taarifa toka jana (juzi). Yanga wameheshimu ratiba na muda uliopangwa ingawa labda wangetumia busara tu kusubiri muda walioamua wenye mpira, maana haiwezekani ukae na wachezaji muda mrefu baada ya kupasha.”

Mchezaji wa zamani wa Simba, Azizi Nyoni alisema: “Yanga haikupaswa kutoka uwanjani kama timu ilikuwa imejiandaa vyema kwa ajili ya mchezo huo, soka letu tunalijua wenyewe namna linavyoendeshwa.

“Haya mambo hayajaanza miaka ya sasa, hata enzi zetu mambo kama haya yalikuwepo sema tu watu waliona kama vitu vya kawaida.”

Upande wake Emmanuel Gabriel, nyota wa zamani wa Simba na Stars alisema: “Kisheria Yanga si ipo sahihi? Hata mimi nililifikiria sana jambo hili, TFF wamechemka aisee.

“Hadi hapa nashindwa kuzungumzia, ina maana asubuhi hawakukaa kikao (pre match meeting)? Hayo yote yalikuwa yazungumzwe hapo na sio vinginevyo.”



MITANDAONI KWALIPUKA

Mwanasiasa maarufu hapa na mbunge wa Bumbuli aliandika kupitia ukurasa wake wa Twitter kuwa: “Kwa kutambua kwamba inawezekana mamlaka za mpira zisifanye maamuzi sahihi, umewekwa utaratibu wa malalamiko. Kama timu haikubaliani na maamuzi ya mamlaka husika, inaweza kucheza ‘under protest’ huku ikiwa imeweka malalamiko kwa maandishi, kama kanuni zinavyoeleza.”

Mchambuzi wa soka kutoka Wasafi Fm, George Ambangile aliandika: “Muda wa kifo tu ndio unacheleweshwa, lakini lazima leo mmoja atachinjwa ...sijui nani huyo, eti wadau nani anakufa leo kwa Mkapa baada ya futari.”

Edo Kumwembe, mchambuzi wa Mwanaspoti na Wasafi FM alituma picha ya mchekeshaji Joti kisha aliandika: “Joti sisi watu wa mpira hautuwezi...mpira wetu unachekesha kuliko wewe.”

Mchambuzi wa kituo cha redio cha E Fm, Oscar Oscar ‘Mzee wa Kaliula’ aliandika hivi: “Timu zote zinapaswa kugomea haya mabadiliko ya kiholela, mpaka sasa Simba na viongozi wake ndo wamepost mabadiliko hayo kwenye kurasa zao rasmi, lakini Yanga hawajasema chochote, katika hili viongozi wangu wa Simba wameonyesha kutokututhamini sisi mashabiki tulioingia uwanjani kuanzia asubuhi, labda kwa kuwa wao wanaingia na ving’ora hawajui shurba ya hili jua kuitafuta saa 11. Mpira wa miguu ni kwa ajili ya wanamichezo na siyo mali ya kiongozi yeyote wa kisiasa. Timu zote zinatakiwa ziheshimu mashabiki au washinikize mechi ichezwe muda uliopangwa au isichezwe kabisa.”

Mchezaji wa zamani wa Taifa Stars na mchambuzi wa E Fm, Jemedari Said Kazumari aliandika: “Wadau mmepokeaje taarifa hii kutoka TFF? Weka comment yako hapa chini. Mimi nasema hii ni hali ya kukosa mpangilio (disorganized). Kuna dharura gani? Vinginevyo mambo yanafaa kutabirika na kwenda kwa mtiririko uleule.

“Halafu kubadilishwa kwa lisaa hiyo sawa, lakini saa 8 tuko kiwanjani tunaambiwa mechi ni saa 1 jioni masaa zaidi ya manne.

“Kiwanja hakina miundombinu ya kupata vitu muhimu kama vyakula (futari) kwa waliofunga, mazingira hayawezi pia kukupa wasaa mzuri wa kukaa hapa kwa hayo masaa manne. Kiwanja chetu ni kuja kuona soka unaondoka.”

Msaani wa muziki wa Bongo Fleva ambaye ni shabiki maarufu wa Arsenal na Yanga, Madee aliandika: “Kwa Mkapa tayari...Yanga wawili na kimkia kimoja..mechi yetu ni saa 11:00. Saa moja tunajua ni Manchester City na Chelsea.”

Zitto Kabwe, kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo pamoja na John Heche wa Chadema wamefagilia uamuzi wa Yanga waliouita wa kijasiri na kutaka waliohusisha kulichezea na kulivuruga pambano hilo iwe wizarani au TFF na Bodi wachukuliwe hatua kali kurejesha furaha ya mchezo wa soka nchini, sawa na alivyotoa kifagio Boniface Jacob, aliyewahi kuwa meya wa Ubungo aliyedai yeye ni Simba damu kama kina Heche na Zitto, lakini amefagilia walichokifanya Yanga.

Ahsateni Wananchi ahsanteni watani wa jadi.
Nyinyi nin mafala, Sasa Rais ndio ametoa amri ya kuzuia mechi isichezwe, yaani sasa ishafikia hata mkiliwa kinguvu na mabasha zenu, lawama mtatoa kwa Number 1
 
Mwenda zake ndiye aliwajengea hofu watendaji wake,
Na haya ndiyo madhala yake,bado wanafikili wapo awamu ya 5.
Unajua issue ni kwamba kuna wale vijana wa book saba pale Lumumba walikuwa wakilipwa na mmoja kati hawa Sukuma gang.
Baada ya Mama kuwa weka kando viongozi walio kuwa wana walipa, sasa hao viongozi wameanza kuwa tumia kumtukanaMh. Rais na kuwalipa. Ndio upuuzi unao endelea kwa sasa.
 
Sema uongozi wa TFF, na sio utawala wa Raisi Samia!

TFF ndo wasimamizi na watafsir wakuu wa sheria za soka hapa nchini!
Wangeweza kusimamia sheria vizur na wangeelewana na wizara husika,
Tatizo ni uongozi usiojali misingi ya sheria na haki, Bado wanaenzi legacy ya mwendazake iitwayo "MAELEKEZO KUTOKA JUU" na hii imetucost wote kama taifa!
Kichwa maji
 
Back
Top Bottom