Utawala wa Rais Alhaji Ali Hassani Mwinyi na maendeleo ya Tanzania

Watumishi wa serekali walikosa mishahara kwa mda miezi wa miwili.hili lilikua disaster utawala wa huyu bwana ruska,mbaya zaidi alipotandikwa KOFI la uso na yule kijjana kwenye mhadhara wa waislam,pale ni ona udhaifu wa walinzi wake na yeye kushindwa kukwepa kibao pamoja na kuwa walipita jkt...dhaifu
 

Alianzisha AZIMIO LA ZANZIBAR

- Aliua Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea kutoka kwa Chama Chake cha CCM

- Liliua JKT

- Liliruhusu Viongozi kumiliki Majumba ya Kifahari

- Liliruhusu Uhuru wa DINI - Dini nyingi zilianza Nzuri na Za Uwalakini

Mapendekezo ya Kuuza Mashirika ya Serikali yenye Hasara/YOTE YALIKUWA YANA HASARA

ALIMLETA POPE JOHN PAUL (NYERERE HAKUWAHI KUFANYA HIVYO WAKATI WA UTAWALA WAKE)

Alianzisha 1st Ladies kuwa Part Business Ladies, Part Motivational Speakers, Owning NGO

Alitenganisha Rais wa Zanzibar asiwe by law Makamu wa Rais wa Tanzania (Ambayo Sasa Wanzanzibari wanataka Irudishwe)
Duu, umenikumbusha mengi. Hakika yote uliyosema ni sahihi.
 
Hivyo ukisema dunia unamainisha ni tanganyika tu? mbona Zanzibar hakukua na marufuku ya uingizaji vitu?

Kenya na nchi nyengine hatukusikia upuuzi huo. Ni Nyerere pekee ndie aliebana.
Wakati was nyerere ilipofika pasaka nakumbuka nilipanda train ya Tazara hadi Tunduma nilishangaa na kununua Colgate.mafuta ya kupikia.sukari santuri yaani shopping ya nguvu wakati maduka ya Rtc yakiwa. empty au kugawiwa vitu mpaka kamati iikae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom