Not_Yet_Uhuru
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,304
- 431
Picha inaongea mara 100 zaidi ya maelezo mengi! Tumsaidieje??
View attachment 26650
Wenzetu huko nje wanamuelewa vyema kuliko tunavyomfikiria sisi...hasa kuhusu mchango wake ktk EAC....!
Je tutafika??..........Nawasilisha!
Ha ha ha ha ha ha.....nimecheka sana leo lol! lakini at the end nimejiuliza yafuatayo
- Je hii si aibu kwa watanzania wote
- Je nini cha kufanya?
Hii katuni ni ya 2006 tena wakati JK alikuwa bado kipenzi chenu mkimwita 'chaguo la Mungu'?
duuuh!...mpaka nyumba ya jirani wanamuona mukulu wetu kilaza!hii aibu.