Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,759
- 71,139
Dunia nzima inaona yanayotokea huko Sri Lanka, nasi pia kama sehemu ya dunia tunayaona.
Yaliyotokea Sri Lanka kama kudorora uchumi, kupanda bei kwa bidhaa kwa kutisha, mikopo mikubwa isiyolipika na utawala wa kindugu ulioshindwa kuongoza nchi ndiyo yaleyale yanayotokea Tanzania chini ya CCM bila kuonyesha dalili za kujali.
Je Chama cha mapinduzi kilichoko madarakani kimejifunza nini toka huko Sri Lanka kwa yanayotokea? ambako nguvu ya umma imefanya hadi Rais amekimbia makazi yake (Ikulu) na wao kuiteka.
Ukiangalia sisi KUKOPA nje tunaona ni jambo la sifa, lakini kwa Sri Lanka waliokuwa wanaamini kama sisi TZ hilo limekuwa jambo lililoleta matatizo haya.
Je, CCM inaweza kutambua sasa kuwa ukopaji huu usio tumia maarifa waweza kuitumbukiza nchi kwenye majanga makubwa kama Sri Lanka?
Yaliyotokea Sri Lanka kama kudorora uchumi, kupanda bei kwa bidhaa kwa kutisha, mikopo mikubwa isiyolipika na utawala wa kindugu ulioshindwa kuongoza nchi ndiyo yaleyale yanayotokea Tanzania chini ya CCM bila kuonyesha dalili za kujali.
Je Chama cha mapinduzi kilichoko madarakani kimejifunza nini toka huko Sri Lanka kwa yanayotokea? ambako nguvu ya umma imefanya hadi Rais amekimbia makazi yake (Ikulu) na wao kuiteka.
Ukiangalia sisi KUKOPA nje tunaona ni jambo la sifa, lakini kwa Sri Lanka waliokuwa wanaamini kama sisi TZ hilo limekuwa jambo lililoleta matatizo haya.
Je, CCM inaweza kutambua sasa kuwa ukopaji huu usio tumia maarifa waweza kuitumbukiza nchi kwenye majanga makubwa kama Sri Lanka?