Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Taarifa zilizonifikia hivi punde za uhakika ni kuwa Dr. Slaa na timu yake mpya inayosubiri kukamata dola tayari wameanza mjadala mzito wa kuibomoa na kuisukuka upya Takukuru.
Ili kuwathibitishia raia ya kuwa Nchi hii sasa itaheshimu maadili ya utawala bora Dr. Hosea atakuwa wa kwanza kufutwa kazi kutokana na maagizo ya Bunge lililomaliza muda wake ambalo liliiagiza serikali kumfuta kazi kibosile huyu lakini JK akielewa anavyomuhitaji katika kufunika tuhuma mbalimbali zinazoikabili CCM alimlinda!!!!!!!!!!!!!!!
Mjadala unaoendelea ndani ya uongozi mpya mtarajiwa ni kuwa sheria ya Takukuru kupitiwa upya ili chombo hiki kiwe huru na wakurugenzi wake kuthibitishwa na Bunge.
Haya marekebisho inaaminika ni muhimu katika kuimarisha utawala bora hapa nchini ambao JK ameuzorotesha kwa masilahi yake binafsi na maswahiba wake wachache.
Ili kuwathibitishia raia ya kuwa Nchi hii sasa itaheshimu maadili ya utawala bora Dr. Hosea atakuwa wa kwanza kufutwa kazi kutokana na maagizo ya Bunge lililomaliza muda wake ambalo liliiagiza serikali kumfuta kazi kibosile huyu lakini JK akielewa anavyomuhitaji katika kufunika tuhuma mbalimbali zinazoikabili CCM alimlinda!!!!!!!!!!!!!!!
Mjadala unaoendelea ndani ya uongozi mpya mtarajiwa ni kuwa sheria ya Takukuru kupitiwa upya ili chombo hiki kiwe huru na wakurugenzi wake kuthibitishwa na Bunge.
Haya marekebisho inaaminika ni muhimu katika kuimarisha utawala bora hapa nchini ambao JK ameuzorotesha kwa masilahi yake binafsi na maswahiba wake wachache.