mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
Utandawazi unapaka matope na kuzianika waziwazi tawala za mabavu. Uwe utawala
wa
*Kuziba midomo
*Kunyamazisha
*Kukaa muda mrefu madarakani
nk
*Ni lazima watawala wajifunze kutumikia watu badala ya kiwatisha
*Ni lazima kuzingatia Haki za Binadam UDHR 1948
ikiwa kiongozi yyt Yule away yupo madarakani akaambiwa vinginevyo, dunia na watu watamuadhibu
lazima dunia ita react tu.
wa
*Kuziba midomo
*Kunyamazisha
*Kukaa muda mrefu madarakani
nk
*Ni lazima watawala wajifunze kutumikia watu badala ya kiwatisha
*Ni lazima kuzingatia Haki za Binadam UDHR 1948
ikiwa kiongozi yyt Yule away yupo madarakani akaambiwa vinginevyo, dunia na watu watamuadhibu
lazima dunia ita react tu.