Utawala dhalimu wa kikwete ulishatabiliwa.....tafsiri yangu na relevance yake..

Munru

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
1,340
664
ni muda mrefu sana toka hayati bob marley afariki dunia...lakini ideas zake za ukombozi wa afrika na mtu mweusi kwa ujumla zinaendelea kuishi na kujidhihirisha sana hasa kwa jinsi serikali dharimu kam ya kikwete zinafanya kwa wananchi wake....
ifuatayo ni tafsiri yangu toka kwenye nyimbo ya bob marley na uhalisia wa mambo yalivyo hapa nchi.............
NIPE COMMENTS KWA UELEWA WAKO PIA......



Survival (1979)

How can you be sitting there
Telling me that you care ( MIZENGO PINDA NA WANAFIKI WENZIE )
That you care
When everytime I look around
The people suffer in suffering
In everyway. In everywhere ( REFFER GHARAMA ZA MAISHA KWA UJUMLA )

Na-na-na-na-na
We're the survivors; yes, the black survival

I tell you what
Some people got everything ( MAFISADI )
Some people got nothing ( WATANZANIA WALALA HOI/WALIPA KODI )
Some people got hopes and dreams ( WATANZANIA WALALA HOI)
Some people got ways and means ( VIONGOZI NA MAFISADI WAO )

Na-na-na-na-na
We're the survivors; yes, the black survival
Yes we're the survivors like
Daniel out of the lions' den, survivors, survivors

So my brethren, my sisthren
Which way will we choose
We better hurry, oh hurry woe now
'Cause we got no time to lose (CHADEMA NDO NJIA AND WE BETTER HURRY )

Some people got facts and claims
Some peole got pride and shame
Some people got the plots and schemes ( VITALU WANAVOJIMILIKISHA SAO HILI ETC
Some people got no aim it seems ( WATANZANIA WANAO WA SUPPORT )

Na-na-na-na-na
We're the survivors; yes, the black survival
We're the survivors; yes, the black survival
We're the survivors like shadrach, meshach and abednego
Thrown in the fire but never get burn ( HARAKAKATI ZITAENDELEA HA HATUWAOOGOPI)

So my brethren, my sisthren
The preaching and talking is done
We gotta live up woe now, woe now ( TANZANIA TUAMKE…TUSHIRIKI MAANDAMANO SASA )
'Cause the father's time has come
Some people put the best outside
Some people keep the best inside ( kizuri sasa tukiweke ndani CCM tuwaweke nje, PIIIPOOO’S..)
Some people can't stand up strong
Some people won't wait for long
 
Bange bwana nzuri sana hapo ulipokuwa unatafakari hayo ulikuwa umekwishapiga pafu ngapi? Maana ile ukipiga inakufanya uweze kutafakari na kuchunguza mambo kwa kina na kisha kufanya maamuzi mazito we waangalie viongozi wote wanaopiga msuba duniani huwa ni viongozi wenye kuweza kufanya maamuzi mazito juu ya mustakabali wa mambo mbalimbali hata muheshimiwa wetu angepata japo pafu moja ungekuta amekwishafanya maamuzi mazito . Ushauri wangu kwake apige msuba aone kama atamwogopa mtu kwanza wakiwa kwenye vile vikao vyao akiwa amepiga akiwaangalia tu wote wanaangalia chini wanajua muheshimiwa leo hataki mchezo na atatoa tamko zito.
ni muda mrefu sana toka hayati bob marley afariki dunia...lakini ideas zake za ukombozi wa afrika na mtu mweusi kwa ujumla zinaendelea kuishi na kujidhihirisha sana hasa kwa jinsi serikali dharimu kam ya kikwete zinafanya kwa wananchi wake....
ifuatayo ni tafsiri yangu toka kwenye nyimbo ya bob marley na uhalisia wa mambo yalivyo hapa nchi.............
NIPE COMMENTS KWA UELEWA WAKO PIA......



Survival (1979)

How can you be sitting there
Telling me that you care ( MIZENGO PINDA NA WANAFIKI WENZIE )
That you care
When everytime I look around
The people suffer in suffering
In everyway. In everywhere ( REFFER GHARAMA ZA MAISHA KWA UJUMLA )

Na-na-na-na-na
We're the survivors; yes, the black survival

I tell you what
Some people got everything ( MAFISADI )
Some people got nothing ( WATANZANIA WALALA HOI/WALIPA KODI )
Some people got hopes and dreams ( WATANZANIA WALALA HOI)
Some people got ways and means ( VIONGOZI NA MAFISADI WAO )

Na-na-na-na-na
We're the survivors; yes, the black survival
Yes we're the survivors like
Daniel out of the lions' den, survivors, survivors

So my brethren, my sisthren
Which way will we choose
We better hurry, oh hurry woe now
'Cause we got no time to lose (CHADEMA NDO NJIA AND WE BETTER HURRY )

Some people got facts and claims
Some peole got pride and shame
Some people got the plots and schemes ( VITALU WANAVOJIMILIKISHA SAO HILI ETC
Some people got no aim it seems ( WATANZANIA WANAO WA SUPPORT )

Na-na-na-na-na
We're the survivors; yes, the black survival
We're the survivors; yes, the black survival
We're the survivors like shadrach, meshach and abednego
Thrown in the fire but never get burn ( HARAKAKATI ZITAENDELEA HA HATUWAOOGOPI)

So my brethren, my sisthren
The preaching and talking is done
We gotta live up woe now, woe now ( TANZANIA TUAMKETUSHIRIKI MAANDAMANO SASA )
'Cause the father's time has come
Some people put the best outside
Some people keep the best inside ( kizuri sasa tukiweke ndani CCM tuwaweke nje, PIIIPOOOS..)
Some people can't stand up strong
Some people won't wait for long
 
Bange bwana nzuri sana hapo ulipokuwa unatafakari hayo ulikuwa umekwishapiga pafu ngapi? Maana ile ukipiga inakufanya uweze kutafakari na kuchunguza mambo kwa kina na kisha kufanya maamuzi mazito we waangalie viongozi wote wanaopiga msuba duniani huwa ni viongozi wenye kuweza kufanya maamuzi mazito juu ya mustakabali wa mambo mbalimbali hata muheshimiwa wetu angepata japo pafu moja ungekuta amekwishafanya maamuzi mazito . Ushauri wangu kwake apige msuba aone kama atamwogopa mtu kwanza wakiwa kwenye vile vikao vyao akiwa amepiga akiwaangalia tu wote wanaangalia chini wanajua muheshimiwa leo hataki mchezo na atatoa tamko zito.

nimepiga stick 2 zisizo na miksa, hakuna mchungwa hiyooooooooooo. JK akipga moja kifafa kitamuua.si wajua kifafa chake kinatulizwa na mapepo ya HUYU MCHAWI SHEHE YAHAYA. sasa ile mambo na mapepo tofauti
 
Mkuu umenikuna sana Ndugu yangu. Naomba nikujibu pia kwa nyimbo hii ya Bob Marley_RIP pia


Redemption Song

Old pirates, yes, they rob I;
Sold I to the merchant ships,
Minutes after they took I
From the bottomless pit.
But my hand was made strong
By the hand of the Almighty.
We forward in this generation
Triumphantly.
Won't you help to sing
These songs of freedom?
'Cause all I ever have:
Redemption songs,
Redemption songs.

Emancipate yourselves from mental slavery;
None but ourselves can free our minds.
Have no fear for atomic energy,
'Cause none of them can stop the time.
How long shall they kill our prophets,
While we stand aside and look? Ooh!
Some say it's just a part of it:
We've got to fulfill the Book.

Won't you help to sing
These songs of freedom?
'Cause all I ever have:
Redemption songs,
Redemption songs,
Redemption songs.
Emancipate yourselves from mental slavery;
None but ourselves can free our mind.
Wo! Have no fear for atomic energy,
'Cause none of them-a can-a stop-a the time.
How long shall they kill our prophets,
While we stand aside and look?
Yes, some say it's just a part of it:
We've got to fulfill the book.
Won't you have to sing
These songs of freedom? -
'Cause all I ever had:
Redemption songs -
All I ever had:
Redemption songs:
These songs of freedom,
Songs of freedom.
 
mkuu umenikuna sana ndugu yangu. Naomba nikujibu pia kwa nyimbo hii ya bob marley_rip pia


redemption song

old pirates, yes, they rob i;
sold i to the merchant ships,
minutes after they took i
from the bottomless pit.
But my hand was made strong
by the hand of the almighty.
We forward in this generation
triumphantly.
Won't you help to sing
these songs of freedom?
'cause all i ever have:
Redemption songs,
redemption songs.

emancipate yourselves from mental slavery;
none but ourselves can free our minds.
Have no fear for atomic energy,
'cause none of them can stop the time.
How long shall they kill our prophets,
while we stand aside and look? Ooh!
Some say it's just a part of it:
We've got to fulfill the book.

Won't you help to sing
these songs of freedom?
'cause all i ever have:
Redemption songs,
redemption songs,
redemption songs.
emancipate yourselves from mental slavery;
none but ourselves can free our mind.

wo! Have no fear for atomic energy,
'cause none of them-a can-a stop-a the time.
How long shall they kill our prophets,
while we stand aside and look?
Yes, some say it's just a part of it:
We've got to fulfill the book.
Won't you have to sing
these songs of freedom? -
'cause all i ever had:
Redemption songs -
all i ever had:
Redemption songs:
These songs of freedom,
songs of freedom.


sisi wenyewe ndo tujikomboe, tujitoe kwenye makucha ya hawa wakoloni weusi...tusingoje watu toka nje
 
nimepiga stick 2 zisizo na miksa, hakuna mchungwa hiyooooooooooo. JK akipga moja kifafa kitamuua.si wajua kifafa chake kinatulizwa na mapepo ya HUYU MCHAWI SHEHE YAHAYA. sasa ile mambo na mapepo tofauti

Kweli man. Mi mwenyewe nilikuwa namatatizo flan yamenitesa kwa muda mrefu kila nikifikiri jinsi ya kuyatatua nashindwa wiki iliyopita nikakama kijiti kimoja cha arush mwana unaambiwa masolution yalikuja yenyewe nikafanya maamuzi magumu sasa naishi kwa amani. Saa nyingine huwa tunaogopaogopa vitu flani katika maisha hata kuanzisha jambo tunaangalia upande wa matatizo zaidi ukikamatwa na hiyo hali ya kushindwa kufanya maamuzi haswa katika mambo magumu na uchague moja kama kumfukuza mtu mmoja au watano katika chama na chama kiwe safi na kiendelee kutawala au kubaki nao na kuua chama , au kuwastaki mafisimaji yote kiukweli na kuyafunga uyachape na viboka kama alivyofanya mwalimu au uache ili wananchi tujue kwamba hata lile bandiko lililosababisha mtandao wa zeutamu kufungiwa ni la kweli. Ndio kama mtu uko legelege unashindwa kufanyamaamuzi magumu unaolewa fasta. Kuwa strong man kama mwalimu, mandela, na wapiga msuba wengine afrika na duniani kwa ujumla
 
oooh so nice! BOB MARLEY, a truly revolutionist, hata kwenye "get up stand up" PATY you choose the right way to remind us and lure us towards true revolution.
 
Naona hapa sasa issue imekuwa kufagilia Msuba. Wengine vichwa vya panzi
 
nimepiga stick 2 zisizo na miksa, hakuna mchungwa hiyooooooooooo. JK akipga moja kifafa kitamuua.si wajua kifafa chake kinatulizwa na mapepo ya HUYU MCHAWI SHEHE YAHAYA. sasa ile mambo na mapepo tofauti

The thread is very good but sounds partisan. We dwelt much into discussing personalities than ideas. Who told you that Chadema represents a viable atrnative to what is you refer as "sufferings". As usual, you never rested until you threw a line on JK! Poor you!
 
The thread is very good but sounds partisan. We dwelt much into discussing personalities than ideas. Who told you that Chadema represents a viable atrnative to what is you refer as "sufferings". As usual, you never rested until you threw a line on JK! Poor you!

adui namba MOJA ..KIKWETE
 
kikwete si mtawala dharimu bali ameshindwa kuongoza nchi sababu hana vision na amewekwa mfukoni na wanaodaiwa kuwa ndiyo walikuwa nguzo kubwa kwake kuhakikisha anashindwa kuanzia chamani - ccm na general election. Tafadhari tofautisha vitu hivyo na kutawala kidharimu
 
Haire man!!!!!!!!!!!!!
This has been good man, we've to fight for our country man!
Bob aliona mbali leo hii tunayaona sasa Tutafakari kisha tuchukue hatua
 
Back
Top Bottom