Abdul Nondo
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 515
- 2,874
Shukrani sana wizara ya elimu .Wizara kwa ukweli ni wizara imara sana kwa upande wangu ,mbali na changamoto zingine katika shule na vyuo vyetu .Ni wizara ambayo ikipata malalamiko ya wanafunzi yana shughulikiwa kwa wakati nimelishughudia hilo mara kadhaa.
Pia hongereni uongozi wa Mwalimu Nyerere pia kwa kuona umuhimu wa utatuzi wa tatizo hili.
Pia hongereni wanafunzi kwa kutoa taarifa kwa wakati.
Shukran sana kwa wizara ya elimu
Msichoke kupokea shida za wanafunzi kwa maslahi ya elimu yetu tunajua katika shule na vyuo vyetu kuna changamoto nyingi msichoke kuzishughulikia zinapofika mezani kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia hongereni uongozi wa Mwalimu Nyerere pia kwa kuona umuhimu wa utatuzi wa tatizo hili.
Pia hongereni wanafunzi kwa kutoa taarifa kwa wakati.
Shukran sana kwa wizara ya elimu
Msichoke kupokea shida za wanafunzi kwa maslahi ya elimu yetu tunajua katika shule na vyuo vyetu kuna changamoto nyingi msichoke kuzishughulikia zinapofika mezani kwenu.
Sent using Jamii Forums mobile app