Utatuzi: Kwanini Afrika ni Tajiri Waafrika (wengi) ni Masikini?

FaizaFoxy

Platinum Member
Apr 13, 2011
92,812
109,091
Baada ya uzi wa awali: Kwanini Afrika ni Tajiri Waafrika(wengi) ni Masikini? - JamiiForums

Huu ni utatuzi pekee wa muda mfupi na muda mrefu ambao utatukwamua kuwatoa watu wetu kutoka katika umasikini hadi kuwa matajiri kama tulivyo na utajiri wa mali ghafi na utajiri wa mali asili.

Ufumbuzi ni, Serikali iondokane kabisa na utawala kama "regulators" wadhibiti na ianze utawala wa kuwa "facilitators" wasimamizi / wawezeshaji.

Naomba wafasiri wanisadie neno "regulator" na "facilitator" kwa Kiswahili au kama nimepatia tafsiri basi tuendelee.

Kwa neno "utawala" namaanisha "administration".

Kila wizara na idara ya serikali iwe msimamizi na mwezeshaji " facilitator" badala ya kuwa mdhibiti "regulator".

Naomba kila mmoja wetu aainishe vipi anaweza kuwa msimamizi/ mwezeshaji "facilitator" badala ya kuwa mdhibiti "regulator" katika nyanja yake.

Iwe ni mama wa nyumbani, mkulima, mfanya biashara, au mfanya kazi yoyote ile, vipi atakuwa msimamizi "facilitator" na vipi serikali itaweza kumsimamia / kumwezesha"facilitate" katika nyanja yake, mbadala wa kuwa wadhibiti "regulators"

Hii ni the simplest and the only solution we have. Amini.

Moderator naomba usiunganishe hizi nyuzi. Kipekee zina manufaa makubwa.
 
Mengi alishawahi kusema kuna maafisa wa serikali wana roho mbaya kupindukia, hata mipango ya kinchi wanapanga kiroho mbaya.
Hilo ni tatizo, ukisoma post namba moja kuna link ya uzi wa kujadili matatizo. Hapa tujadili ufumbuzi.
 
umasikini wa nchi hautokani na serikali kuwa 'regulator' kwa sababu serikali isipokuwa ,' regulator' nina hakika zitazaliwa ' private sector monopolies' ambazo kimsingi kwa tanzania hazifai kuwepo. uchumi wetu bado haujawa tayari kuwa ' regulated' na private sector.

umasikini wa nchi yetu unatokana na kushindwa kuwawezesha vijana wetu wa kitanzania kuona na kuzitumia fursa zilizopo na kuwaanda vijana wetu vyema kuweza kutumia rasilinali zetu ipasavyo hivyo kupeleka kuwa tegemezi kwa wageni si tu misaada bali pia kwa wataalamu ambao kama nchi ingetakiwa kuwa nao.

taifa bila wataalamu wa kutosha walioandaliwa vema kukidhi mahitaji ya sasa ya kiuchumi, kiteknolojia, kielimu na kimaendeleo ni ndoto kuendelea
 
Baada ya uzi wa awali: Kwanini Afrika ni Tajiri Waafrika(wengi) ni Masikini? - JamiiForums

Huu ni utatuzi pekee wa muda mfupi na muda mrefu ambao utatukwamua kuwatoa watu wetu kutoka katika umasikini hadi kuwa matajiri kama tulivyo na utajiri wa mali ghafi na utajiri wa mali asili.

Ufumbuzi ni, Serikali iondokane kabisa na utawala kama "regulators" wadhibiti na ianze utawala wa kuwa "facilitators" wasimamizi.

Naomba wafasiri wanisadie neno "regulator" na "facilitator" kwa Kiswahili au kama nimepatia tafsiri.

Kwa neno "utawala" namaanisha "administration".

Kila wizara na idara ya serikali iwe " facilitator" badala ya kuwa "regulator".

Naomba kila mmoja wetu aainishe vipi anaweza kuwa "facilitator" badala ya "regulator" katika nyanja yake.

Iwe ni mama wa nyumbani, mkulima, mfanya biashara, au mfanya kazi yoyote ile, vipi atakuwa "facilitator" na vipi serikali itaweza ku "facilitate" nyanja yake, mbadala wa kuwa "regulators"

Hii ni the simplest and the only solution we have. Amini.

Moderator naomba usiunganishe hizi nyuzi. Kipekee zina manufaa makubwa.
Wazo zuri mno dada,ila usisahau SISI NI WASWAHILI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo ndio SULUHISHO kuu la kwanza, kwa kuwa litahamasisha SPIRIT YA UBUNIFU, JUHUDI na SEKTA BINAFSI.

Ukiongezea na KATIBA BORA isiyotetea MAFISADI. Lazima nchi ipige HATUA ndani ya miaka 5 tu !
 
Tuanze kujikomboa kwa kuwa "facilitators" kuanzia ngazi za juu hadi kufikia kwa mtu mmoja mmoja.
Kujikomboa lazima kuanzie chini kisha huko juu kuwe ni matokeo tu ya mabadiliko ya kifkra yaliyopo kwenye jamii husika maana hao walioko juu wanatoka kwenye jàmii hii hii inayohitaji ukombozi wa fikra, hivyo ubovu wa viongozi wa leo ni matokeo ya kuwa na jamii isiyojitambua
 
Mkuu Afrika ina nchi 54, na kila moja inachangamoto zake zinazowafanya raia wake kuwa maskini. Hii jibu lako ni kama umefanya "overgeneralization", naamini kwa uelewa wako hujafanya kosa hilo bila kujua na ujumbe umefika hasa kwa walengwa.

Hii dhana ya serikali kuwa mdhibiti baadala ya muwezeshaji itaondoka tu pale wale tuliowapa dhamana ya kutuongoza kuelewa kuwa jukumu lao ni kuongoza taifa ili kufikia malengo ya kuondokana na umasikini na si kutawala taifa kwa lengo la kujimilikisha nguvu, madaraka na mamlaka kwa vikundi/vyama vyao.
 
africa inabdi tubadilike utajiri sio rasilimali ulizonazo

Utajiri ni akili uliyojaaliwa ya kuchanganua matatizo na hcho ndo ambacho hatuna

tunabaki kukaririshwa na mabepari utajir ni rasilimali

Sent using Jamii Forums mobile app
Definition ya utajiri na umasikini imeainishwa kwenye uzi wa matatizo. Naomba upitie hapa: Kwanini Afrika ni Tajiri Waafrika(wengi) ni Masikini? - JamiiForums

Hapa tujikite kwenye utatuzi (solution).

Tufahamishe vipi utakuwa msimamizi (facilitator) kwenye nyanja yako au vipi usimamiwe (facilitated) ili upige hatua kwenda mbele?
 
Kujikomboa lazima kuanzie chini kisha huko juu kuwe ni matokeo tu ya mabadiliko ya kifkra yaliyopo kwenye jamii husika maana hao walioko juu wanatoka kwenye jàmii hii inayohitaji ukombozi wa fikra, hivyo ubovu wa viongozi wa leo ni matokeo ya kuwa na jamii isiyojitambua
Tufahamishe vipi utakuwa msimamizi (facilitator) kwenye nyanja yako au vipi usimamiwe (facilitated) ili upige hatua kwenda mbele?
 
Viongozi wengi vibaraka na wabinafsiw,wanataka kuabudiwa kama miungu watu.....hawajali maisha ya wananchi wao,kilimo jembe la mkono, huduma za afya hafifu......Elimu mbovu cos watoto wao wanasoma mbele mbele huko,aliyesema Africa ni shithole namuunga mkono, aliyesema Africa ni dark continent abarikiwe sana maana hatupendi kusikia ukweli.....Kuna ujinga unafanyika Africa hadi unachukiza
 
Baada ya uzi wa awali: Kwanini Afrika ni Tajiri Waafrika(wengi) ni Masikini? - JamiiForums

Huu ni utatuzi pekee wa muda mfupi na muda mrefu ambao utatukwamua kuwatoa watu wetu kutoka katika umasikini hadi kuwa matajiri kama tulivyo na utajiri wa mali ghafi na utajiri wa mali asili.

Ufumbuzi ni, Serikali iondokane kabisa na utawala kama "regulators" wadhibiti na ianze utawala wa kuwa "facilitators" wasimamizi / wawezeshaji.

Naomba wafasiri wanisadie neno "regulator" na "facilitator" kwa Kiswahili au kama nimepatia tafsiri basi tuendelee.

Kwa neno "utawala" namaanisha "administration".

Kila wizara na idara ya serikali iwe " facilitator" badala ya kuwa "regulator".

Naomba kila mmoja wetu aainishe vipi anaweza kuwa "facilitator" badala ya "regulator" katika nyanja yake.

Iwe ni mama wa nyumbani, mkulima, mfanya biashara, au mfanya kazi yoyote ile, vipi atakuwa "facilitator" na vipi serikali itaweza ku "facilitate" nyanja yake, mbadala wa kuwa "regulators"

Hii ni the simplest and the only solution we have. Amini.

Moderator naomba usiunganishe hizi nyuzi. Kipekee zina manufaa makubwa.
That's good idea.

Lakini on top of that ni lazima serikali ikubali decentralization. Serikali kuu ibaki na majukumu ya kitaifa na resource distribution. Sioni sababu ya maji kijijini ketu au barabara liwe ni swala la Rais kuamua Tshs ngapi atatoa ili mradi ukamilike.

Nguvu nyingi za maendeleo na ukusanyaji mapato uwe chini ya Local governments. Na local governments zipewe nguvu ya kujiamulia na kufanya mambo yao .... ili mradi ni ndani ya sheria za nchi.
 
Back
Top Bottom