Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 60,994
- 153,858
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nitamuombea tu apate wa kumfaa
Kama huyu utamsaidiaje kwa mfano??
Zari is a huge fan of celebrity lifestyle. Hiyo kitu ilimfanya hadi awe mwanamuziki japo kipaji hana, bado hakuwa celebrity, akahangaika sn kuwa socialite, Ivan hakuweza kumpa celebrity lifestyle. Mwishoe ndio akaangukia kwa Chibu ambae anamtimizia hiyo lifestyle ya kuonekana kwenye kininga na kuzungumzwa kwa media houses. Nasema haya si kwa kukisia, niliwahi kukutana na kupiga story na Dafe Louis ambae alikua ni Manager wa Boss Lady.
Kumbuka Zari hn njaa kabisa kabisa. Miradi yote ya Ivan ana shares zake. Mwisho wa siku kila mtu anaishi maisha yanayompendeza. Pesa ni superglue kwa madem wenye njaa.
unakopi tu na kubandika ndo maana mnavalishwaga s.h.a.n.g.a nyie, hili jukwaa limekuwa kama fb vileWe ajuza mimi nimekopi mahali...
Very true..nakumbuka zari alianza mahusiano yake na diamond akiwa na na followers 35k baada ya six month akawa na followers 1m ..lengo lake likatumiaZari is a huge fan of celebrity lifestyle. Hiyo kitu ilimfanya hadi awe mwanamuziki japo kipaji hana, bado hakuwa celebrity, akahangaika sn kuwa socialite, Ivan hakuweza kumpa celebrity lifestyle. Mwishoe ndio akaangukia kwa Chibu ambae anamtimizia hiyo lifestyle ya kuonekana kwenye kininga na kuzungumzwa kwa media houses. Nasema haya si kwa kukisia, niliwahi kukutana na kupiga story na Dafe Louis ambae alikua ni Manager wa Boss Lady.
Kumbuka Zari hn njaa kabisa kabisa. Miradi yote ya Ivan ana shares zake. Mwisho wa siku kila mtu anaishi maisha yanayompendeza. Pesa ni superglue kwa madem wenye njaa.
Hahahaaaaa mtatutoa rohoKutokana na maisha yalivyobadilika zaman sisi wadada tulikua tunaambiwa na wazee wetu kama ukitaka kutafuta mwanaume wakukuowa usiangalie ana mali kiasi gani au ni mtu maarufu kiasi gani ila kikubwa angalia upendo wake juu yako. Ila siku hizi ni tofauti wale wanaume wenye upendo wakweli mwenye kukuheshimu na kukujali kama anavyomjali mama ake mzazi hayupo kwanza mwanaume mwaminifu kwa kizazi hichi hayupo na kama yupo ni asilimia ndogo sana kwa hiyo girls unaetafuta mwenzi wa maisha tafuta mwenye uwezo na anaeweza kukutunza ni afadhali umwage chozi kwenye bmw kuliko kumwaga chozi kwa mwendesha mkokoteni ni wazo tu kwan naona haya mapenzi akuna mkamilifu wote ni wale wale tu.
Asili ya mwanaume anatakiwa afanye majukumu yt ya kifamiliaYan nyie mnataka kutunzwa tu na wanaume,kwan kuna ubaya gan nanyie mkitunza
Sema "nita"Hahahaaaaa mtatutoa roho