johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,598
- 141,415
Eneo pekee ambalo sikumuelewa mpendwa wetu hayati Magufuli ni pale alipowateua Makada wa CCM kuwa Wakurugenzi wa Halmashauri.
Sina shida kwenye ukuu wa wilaya kwani hata enzi za Tanu Madereva waaminifu wa chama walipokaribia kustaafu wakiteuliwa kuwa maDC ila kwa Wakurugenzi tulihitaji wataalamu siyo wanasiasa.
Labda kwa vile ukiteua Mkurugenzi ndio unakuwa umemteua Msimamizi wa Uchaguzi katika wilaya au Halmashauri
Huu utatu wa Meya + DED + DC = Makada wa CCM plus Madiwani wote ni Makada wa CCM basi Jumla kuu ni lazima iwe maumivu makali kwenye fedha za Halmashauri zetu
Mungu wa mbinguni utuhurumie sisi Waja wako!
Sina shida kwenye ukuu wa wilaya kwani hata enzi za Tanu Madereva waaminifu wa chama walipokaribia kustaafu wakiteuliwa kuwa maDC ila kwa Wakurugenzi tulihitaji wataalamu siyo wanasiasa.
Labda kwa vile ukiteua Mkurugenzi ndio unakuwa umemteua Msimamizi wa Uchaguzi katika wilaya au Halmashauri
Huu utatu wa Meya + DED + DC = Makada wa CCM plus Madiwani wote ni Makada wa CCM basi Jumla kuu ni lazima iwe maumivu makali kwenye fedha za Halmashauri zetu
Mungu wa mbinguni utuhurumie sisi Waja wako!