Utata watanda nchi anakotibiwa Ulimboka; Yadaiwa yupo Ujerumani na si Afrika Kusini

Jambo la msingi ni matibabu utata uko wapi wa kuikumba nchi !!!!!!! Udaku newspapers ....
 
Mungu amewaumbua,Mliua haohao wauza madin ktk ule msitu lkn hili mmechemsha na ushahid upo!Damu ya mtu haimwagik bure na ukumbuke DKT ULI sio israili mpk mseme wagonjwa wamekufa kwa ajil yke!
 
Germany or South Africa, what does that help us? he was sent out of the country by his beloved to try and rescue him from death? or is it his health?
Does he realize now that many were in his position and could not afford to be even transferred to other hospitals?
I don't give a damn wherever he is. What does that help us?

Hizi zote ni frustration za kupanda kwa gharama za maisha zinazosababishwa na serikali
ya CCM. Soma signature yangu hapo chini utapata jibu!
 
Humanity? do you call it humanitarian when doctors refuse to treat the sick and ill just because they demand extravagant and luxurious demands? And you want me to fill pity for the evil who leads them?

Wouldn't they be in a better position to negotiate while treating?
Mtafute Lusinde, Maji marefu na Komba wakufindishe kiingereza
 
Wewe unajibu kikubwa inatosha. Si mimi, si wewe, si Mtanzania mwingine yeyote, awepo Afrika Kusini, Ujerumani au Uchina inatusaidia nini?

Mimi nasema sasa ataelewa kuwa uchochezi wake umemfanya ahisi (kama anazo hizo hisia) ni vipi mtu akikosa afya kwa kuumwa anavyokuwa.

Katika madai 12 aliyoyabuni, 11 ni ya kipato kwa madaktari, sasa hicho kipato kimpe uzima.



Unatoa mapofu utafikiri unapekechwa!
Tumia akili ktk kufikiri kubwa jinga wewe!
Ama unatumika nini?
 
Kutokana na sababu za kiusalama na watekaji kuzidi kufuatilia hospitali alipo huko South. Source Gazeti la Mwananchi. Naomba wanajamvi mtupashe mkipata ukweli. Mungu ni Mwema na atawaumbua Wahusika mchana kweupe.
 
Leo asubuhi bbc swahili inasema walimtembelea ulimboka south jana. Au kahamaishwa leo?
 
Amewaumiza si wake za watu tu, watoto, wazee, vijana. Kwa ufupi wote waliokosa matibabu kwa uchochezi wake wa kujitafutia umaarufu na tamaa zake binafsi. Sasa hivi anajuwa kuumwa ni nini.

Matusi hayasaidii, mnajulikana mnapokuwa hamna hoja mnaanza kutukana.

Zomba, si serikali yako sikivu imesema hakuna mgomo na madaktari wote wako kazini? sasa hao unaosema wameumizwa (kufa?) ni nini kimesababisha maumivu/vifo vyao? Maana kwa mujibu wa taarifa zote za serikali hakuna mgomo wa madaktari.
 
Habari za uhakika yuko Africa kusini Kwenye coma, according to BBC this morning.

His condition is critical
 
Germany or South Africa, what does that help us? he was sent out of the country by his beloved to try and rescue him from death? or is it his health?

Does he realize now that many were in his position and could not afford to be even transferred to other hospitals?

I don't give a damn wherever he is. What does that help us?



Mkuu leo upo bungeni au kwa kikao cha usalama na mikakati ya propaganda?
 
Wewe unajibu kikubwa inatosha. Si mimi, si wewe, si Mtanzania mwingine yeyote, awepo Afrika Kusini, Ujerumani au Uchina inatusaidia nini?

Mimi nasema sasa ataelewa kuwa uchochezi wake umemfanya ahisi (kama anazo hizo hisia) ni vipi mtu akikosa afya kwa kuumwa anavyokuwa.

Katika madai 12 aliyoyabuni, 11 ni ya kipato kwa madaktari, sasa hicho kipato kimpe uzima.

Du! nyie viongozi sijui ni lini mtajifunza kuchuja mnachokiongea. hebu ona tamko la RAIS wetu kwetu sisi watanzania

"Kutokana na ukweli huo basi kama mgonjwa anayeona kuwa hawezi kutibiwa katika hospitali ya Serikali bila kulala kwenye kitanda chake, bila kupata vipimo kupitia vifaa bora, bila kupata dawa na hayupo tayari kuona daktari hana vitendea kazi, awe huru kuachana na hospitali za serikali na kwenda kwenye hospitali zinazoweza kumuhudumia hivyo. Hana sababu ya kulalamika ili ashinikize kuboresha kwa miundombinu na vitendea kazi. Asisumbuke, hatapewa huduma hizo"
 
Tena sana tu, ametuumizia na kutuulia wagonjwa wetu wengi kwa maslahi yake binafsi, halafu eti alikuwa anakwenda kilabu cha pombe kutatua matatizo ya wagonjwa? Huyo alikuwa anakwenda kupokea rushwa. Halafu bado nimhurumie?
pole sana kumbe ulikuwa na wagonjwa wengi siku hiyo! Kwani walikufa?

Ila usijali atapona ili arudi kuendelea kuwatibu wagonjwa wako!
 
Germany or South Africa, what does that help us? he was sent out of the country by his beloved to try and rescue him from death? or is it his health?

Does he realize now that many were in his position and could not afford to be even transferred to other hospitals?

I don't give a damn wherever he is. What does that help us?

what does that assasination attempt help us?

We know u don care but soon he will be back, i know you will get angry to see him walking and talking.
 
Back
Top Bottom