Bongo nyoso, ukiharibu ugali wa mtu tazama unachomokaje ukizingua utatupwa baharini. Hali si shwari muoneeni huruma huyo jamaa, akiendelea na hizo hustle za madawa hazinaga ushujaa. Anacheza na cartel ambazo zimeanza kupata nguvu.
Tunakujua pia vizur wewe Meshack kwani kwa mara kazaa tumesikia pia mambo yako ya kuwatishia viongozi wa dini na watu wote tunaokuja hapo kituo cha polisi kijenge kuwa hakuna wakukutisha.
Achilia hayo wewe umekuwa na tuhuma za mauaji ya
Chalii yetu ambae alikuwa fundi anae kaa baraa pia Habari zako tunazo kuwa unamtumia mwandishi mmoja hapa mjini huyu huwa anampa pombe ili atume habari zake yote kwa yote nyie mapolisi ccm tu unatuchoka na ngonjera zenu
Alishapewa pombe pale kipong na masister ili amchafue maza kuhusu inshu mambo ya nyumba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.